Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,825
Ningekua Batman ,,ningekubeba fasta!! Just for insuranceUna stress na nyumba ya urithi pambana na hali yako kunguni ww
Ningekua Batman ,,ningekubeba fasta!! Just for insuranceUna stress na nyumba ya urithi pambana na hali yako kunguni ww
ndo kusema nini asaNingekua Batman ,,ningekubeba fasta!! Just for insurance![]()
Kisha nikakupeleka mahali ukabadili Nguo then tukatembea zetu mtaaani ,, ukafurahia kuona watu na majengo mazurindo kusema nini asa
ndo kusema nini asa
Bora uwe na urafiki na wanaume sio mwanamke kama joyce shija msukuma wa kolomije pooooohNingekua Batman ,,ningekubeba fasta!! Just for insurance![]()
purinsi haroooo ooooo kama nakuona
Ooopsss keep it down mom ivi naww unapenda Pets km paka au mbwa The same km mimi?Bora uwe na urafiki na wanaume sio mwanamke kama joyce shija msukuma wa kolomije poooooh
inchi inaongozwa na watu wa koromije weye usiejuaBora uwe na urafiki na wanaume sio mwanamke kama joyce shija msukuma wa kolomije poooooh
Yaaacheni hayo Sweets ,, vipi Krisimas najua hatutoweza kujumuika pamoja ila mie na rafiki yang tulipenda sana kula ,kunywa nakucheza pamoji nanyi ,, Can we?.yani umelipenda hilo likandemba?hahaaaa nakuapia hapo lilipo halijavaa chupi
basi sawa ila huyo ameniboa hajui sisi wasukuma ndio tunaongoza dola?Yaaacheni hayo Sweets ,, vipi Krisimas najua hatutoweza kujumuika pamoja ila nilipenda sana kula ,kunywa nakucha pamoji nanyi ,, Can we?.![]()
Kawaida bana just myachukulie simple !!! ...yaaah President ni Msukuma ,,Wa majeshi ni msukuma ,nawewe nimsukuma ,kwakweli wasukuma ni Wakarimu sana !! BTW ,, Hii move ya Titanic Umeshaona Part 2 yake ???? Ya ukweli sanaaaabasi sawa ila huyo ameniboa hajui sisi wasukuma ndio tunaongoza dola?
hapo mkuu nimeamini wewe ni mtu mzuri sana yani mstaraabu sawa nakubali na kuheshimu mawazo yako na pia namuomba msamaha mgoni wangu dennis kwa yote yaliotokeaKawaida bana just myachukulie simple !!! ...yaaah President ni Msukuma ,,Wa majeshi ni msukuma ,nawewe nimsukuma ,kwakweli wasukuma ni Wakarimu sana !! BTW ,, Hii move ya Titanic Umeshaona Part 2 yake ???? Ya ukweli sanaaaa![]()
![]()
![]()
pole dennis nyanda unisamehege mayuuuu.Uliona wapi msukuma mweupe![]()
Ewaaaa safi sana ,kunywa maji kidogo ya baridi ,, jiandae nakuja nahapo mkuu nimeamini wewe ni mtu mzuri sana yani mstaraabu sawa nakubali na kuheshimu mawazo yako na pia namuomba msamaha mgoni wangu dennis kwa yote yaliotokea
usijali unakaribishwa sana.Ewaaaa safi sana ,kunywa maji kidogo ya baridi ,, jiandae nakuja nanajua nmechelewa ila chakula chausiku naitaji tule pamoja.![]()