Msaada: Bomoa bomoa Ilala kupisha reli

Msaada: Bomoa bomoa Ilala kupisha reli

Ni mt 30 mkuu,pole huku kwetu mwanza wamechora kweli ila vyema ukifika ofisi husika utapata ufumbuzi mzuri
 
Wakivunja nyumba ya urithi kiwanja si kinabaki mali yenu?
Wakivunja nyumba ya urithi kiwanja si kinabaki mali yenu? Mtafugia hata nguruwe... By the way, nimeona wamevunja zaidi upande mmoja huu wa kushoto kama unaelekea Buguruni. Kama mko upande wa kulia angalau mna unafuu...

hata nguruwe... By the way, nimeona wamevunja zaidi upande mmoja huu wa kushoto kama unaelekea Buguruni. Kama mko upande wa kulia angalau mna unafuu...
Asante mkuu,kwa hiyo kuna uhakika hawatakuja kuvunja tena? je zoezi hilo dar limekwisha?
 
Ni mt 30 mkuu,pole huku kwetu mwanza wamechora kweli ila vyema ukifika ofisi husika utapata ufumbuzi mzuri
Asante mkuu,ila wahusika hawaeleweki sababu tukiwauliza tunapata majibu tofauti tofauti yenye kuchanganya.
 
Mmejichanganya, ,ilitakiwa siku alipoapishwa huyu bwana mkubwa kuwa Rais ,, nyumba yenu mngeipiga bei,,,, sidhani km mtamtanusurika ktk ilo,,,hamkusoma alama za nyakati
Duuuh kwakweli tunakosa usingizi mkuu.Inamaana dar bado zoezi linaendelea? maana nyingi zimevunjwa nikafikkiri ndio mwisho.
 
Ndugu wana jukwaa nawaombeni msaada wa kimawazo kuhusu hii bomoa bomoa kupisha reli,nyumba yetu ya urithi ipo ilala bungoni mwishoni kabisa karibu na reli ya kati inapopita,nyumba yetu inakaribia reli kwa karibu ya mita 20.
Tuna wasiwasi mkubwa wa kuvunjiwa ingawa hili eneo hawajavunja nyumba kama ilivyo eneo la Kamata na Buguruni.
Nawaombeni wanajukwaa wenye kujua au uelewa wa zoezi hili la bomoa bomoa kwa umakini ili kujiridhisha zaidi nyumba zetu zitapitiwa au hapana,nawasilisha.
Equivalent to "mbona mnawakanyaga wenzenu kama majani?"
 
Ndugu wana jukwaa nawaombeni msaada wa kimawazo kuhusu hii bomoa bomoa kupisha reli,nyumba yetu ya urithi ipo ilala bungoni mwishoni kabisa karibu na reli ya kati inapopita,nyumba yetu inakaribia reli kwa karibu ya mita 20.
Tuna wasiwasi mkubwa wa kuvunjiwa ingawa hili eneo hawajavunja nyumba kama ilivyo eneo la Kamata na Buguruni.
Nawaombeni wanajukwaa wenye kujua au uelewa wa zoezi hili la bomoa bomoa kwa umakini ili kujiridhisha zaidi nyumba zetu zitapitiwa au hapana,nawasilisha.
Uzeni haraka mkakae chamanzi au chanika maana hapo Hakuna kulipwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba yenu iliwekewa alama ya X mkitakiwa kuvunja wenyewe kabla mamlaka husika hazijachukua hatua.
 
Nyumba yenu iliwekewa alama ya X mkitakiwa kuvunja wenyewe kabla mamlaka husika hazijachukua hatua.
Ni kweli usemavo ila nasikia zoezi la kubomoa dar limekwisha na hakuna ubomoaji tena katika maeneo karibu ya reli,ndio nikataka wadau wenye kujua wanihakikishie ili tupate amani ya roho.
 
Back
Top Bottom