Msaada: Bomoa bomoa Ilala kupisha reli

Msaada: Bomoa bomoa Ilala kupisha reli

joyce shija

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2017
Posts
471
Reaction score
189
Ndugu wana jukwaa nawaombeni msaada wa kimawazo kuhusu hii bomoa bomoa kupisha reli,nyumba yetu ya urithi ipo ilala bungoni mwishoni kabisa karibu na reli ya kati inapopita,nyumba yetu inakaribia reli kwa karibu ya mita 20.
Tuna wasiwasi mkubwa wa kuvunjiwa ingawa hili eneo hawajavunja nyumba kama ilivyo eneo la Kamata na Buguruni.
Nawaombeni wanajukwaa wenye kujua au uelewa wa zoezi hili la bomoa bomoa kwa umakini ili kujiridhisha zaidi nyumba zetu zitapitiwa au hapana,nawasilisha.
 
Nashauri uende kwenyemamlaka zinazohusika upate taarifa sahihi kuhusiana na vipimo wanavyohitaji wenyewe. Maana humu majibu utapata ila mengine yanaweza kuwa ya zamani au ya kubuni
 
duuh pole in advance...
Tuhurumie mdada wetu hata kwa mawazo chanya kidogo,tumepata ahueni kidogo kuona hapa maeneo yetu hakuna dalili ya kuvunjiwa,au inamanisha ubomoaji utakuja siku moja?
 
Aisee vuta subira Mungu atakuwa pamoja nanyi
 
Ndugu wana jukwaa nawaombeni msaada wa kimawazo kuhusu hii bomoa bomoa kupisha reli,nyumba yetu ya urithi ipo ilala bungoni mwishoni kabisa karibu na reli ya kati inapopita,nyumba yetu inakaribia reli kwa karibu ya mita 20.
Tuna wasiwasi mkubwa wa kuvunjiwa ingawa hili eneo hawajavunja nyumba kama ilivyo eneo la Kamata na Buguruni.
Nawaombeni wanajukwaa wenye kujua au uelewa wa zoezi hili la bomoa bomoa kwa umakini ili kujiridhisha zaidi nyumba zetu zitapitiwa au hapana,nawasilisha.
Waone waliobomolewa, hao wana very reliable information.
Kwa kifupi: soma hiyo, lakini waliwabomolea watu kwa mita 30, kwa uonevu. sijui kwa nini hawakwenda mahakamani

Railways act, 2002

Interpretation

"railway strip'' means the land oil both sides of a railway track measuring in ail urban area fifteen metres and in a rural area thirty metres in width from the centre line of the track;


Railway

strip

57--41) A railway strip constitutes land adjacent to the railway track reserved to facilitate future development of rail infrastructure.

(2) Except with the written permission of the Company, a person shall not erect any building or structure or execute any works on a railway strip.

(3) Where any person has erected or erects any building, or structure, or has executed or executes any works on a railway strip without the written permission of the Company, the Company shall give written notice to Such person to demolish or modify such building, structure or works within thirty days of such notice.

(4) Where a person does not, within thirty days of the notice referred to in Subsection (3), demolish or modify the building, structure or works the Company shall demolish or modify or cause to be demolished or modified, the building, structure or works and such person shall pay

for the costs of such demolition or modification.
 
Wakivunja nyumba ya urithi kiwanja si kinabaki mali yenu? Mtafugia hata nguruwe... By the way, nimeona wamevunja zaidi upande mmoja huu wa kushoto kama unaelekea Buguruni. Kama mko upande wa kulia angalau mna unafuu...
 
Ndugu wana jukwaa nawaombeni msaada wa kimawazo kuhusu hii bomoa bomoa kupisha reli,nyumba yetu ya urithi ipo ilala bungoni mwishoni kabisa karibu na reli ya kati inapopita,nyumba yetu inakaribia reli kwa karibu ya mita 20.
Tuna wasiwasi mkubwa wa kuvunjiwa ingawa hili eneo hawajavunja nyumba kama ilivyo eneo la Kamata na Buguruni.
Nawaombeni wanajukwaa wenye kujua au uelewa wa zoezi hili la bomoa bomoa kwa umakini ili kujiridhisha zaidi nyumba zetu zitapitiwa au hapana,nawasilisha.
Joyce waulize waliobomolewa kwa nini hawakwenda mahakamani?
 
Back
Top Bottom