Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,170
- 11,572
Salamu,
Wapendwa nahitaji kujua mashine ya kupandia mahindi zinapopatikana na gaharama yake.
Nipo Dar es salamu muda huu. Nia na madhumuni yangu ni kuepuka hasara kubwa niliyoipata mawaka huu wa kilimo baada ya kupata mavuno duni sana, kutokana na mtindo wa kurusha mbegu huku nalifukuza trekta kwa nyuma likiwa linalima.
Kwa ekari kumi nilitumie kurusha zaidi ya nusu gunia na nikaambulia gunia 8 tu baada ya mavuno.
Nimeskia kuna mashine za kupandia, nimeshauriwa nikipata hiyo nitapata ahueni ya kupoteza mbegu nyingi lakini pia nitafaidika na upandaji wenye nafasi utakaochochea mazao yangu kukua na kukomaa vizuri na hatimae kupata mavuno yenye tija.
Asante sana kwa ushauri, maoni na msaada wako in advance.
Wapendwa nahitaji kujua mashine ya kupandia mahindi zinapopatikana na gaharama yake.
Nipo Dar es salamu muda huu. Nia na madhumuni yangu ni kuepuka hasara kubwa niliyoipata mawaka huu wa kilimo baada ya kupata mavuno duni sana, kutokana na mtindo wa kurusha mbegu huku nalifukuza trekta kwa nyuma likiwa linalima.
Kwa ekari kumi nilitumie kurusha zaidi ya nusu gunia na nikaambulia gunia 8 tu baada ya mavuno.
Nimeskia kuna mashine za kupandia, nimeshauriwa nikipata hiyo nitapata ahueni ya kupoteza mbegu nyingi lakini pia nitafaidika na upandaji wenye nafasi utakaochochea mazao yangu kukua na kukomaa vizuri na hatimae kupata mavuno yenye tija.
Asante sana kwa ushauri, maoni na msaada wako in advance.