Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

Mkuu huyu mbibi nadhani huwa Hujawahi kumwelewa anapenda udini ni hamna mfano
Utafiti mdogo tu mashoga karibu wote tz wana majina yafuatayo anti bilal, anti Ali, anti abuu
Madrasa watoto wa kiume wanabikiriwa na maustadhi
Hatusemi neno
Naomba umwelewe tu nadhan psychological problems

sasa si aende islamiki state uarabuni!!
 
sasa kama ulimwona.kanisani halafu unasema hukujua kama msemimari napata shaka na statement zako

Mkuu sio WOTE wanavaa zile kanzu wengine hawavai mfano umeshawah kukutana na padre mjini kavaa ile kanzu kama wapo basi wachache sana
 
Khaa sasa maandishi si hata ww unaweza kuandika ukapost online wakawa wanakunukuu kama ww unavyokuu wikipedia

Kwani yule jamaa m Pakistani alietunga kitabu kilicho mkashifu mtume Mohammad na uislam ni kweli aliyoyaandika?
Au ile filam ya kimisri iliyotungwa na mmarekani ikim portray mtume MTU Malaya tuitumie kama kielelezo?

Huna akili mabinti wadogo humu ndani wanakuzidi akili

Kila uchao wewe ni udini tu
Utakua umetumwa na shetan

He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile | Comment is free | The Guardian
 
Mwambie flateri arejee kifungu cha biblia kinachosema 'aziniye hana akili kabisa'
 
We unaona kuna future hapo???..au ndo umeamua kuwa kipozeo tu forever
 
Mwanangu usiogope hata kidogo. Hakikisha akija tu mkalishe, mwambie huwa hawaruhusiwi kuoa, sasa tangu siku 30 zilizopita umejihisi una uja uzito wake, sasa unaomba ushauri wake, ufanye nini na weye hutaki kuua hicho kiumbe?? Akiwa ni kweli anakuthamini atakupa njia nzuri eg kukilinda na kukitunza kiumbe. Huyo, endelea tu naye ila ujue kuwa sometiyme to kam utajikuta single mother/parent.
Ukikaa naye vizuri, utapata bonge la hausi na mkoko mzuri na vidoido utakavyo viomba eg nguo za mtoto mtarajiwa. Baadaye waweza amua kumzalia.
Hao watu nakwambia wana njia nyingi tu za kukutunza ila uwe mwaminifu tu kwake. Nazungumzia haya nikiwa nawajua wanawake wengi tu waliofaidi kutoka kwa watu hao.
 
Mwanangu usiogope hata kidogo. Hakikisha akija tu mkalishe, mwambie huwa hawaruhusiwi kuoa, sasa tangu siku 30 zilizopita umejihisi una uja uzito wake, sasa unaomba ushauri wake, ufanye nini na weye hutaki kuua hicho kiumbe?? Akiwa ni kweli anakuthamini atakupa njia nzuri eg kukilinda na kukitunza kiumbe. Huyo, endelea tu naye ila ujue kuwa sometiyme to kam utajikuta single mother/parent.
Ukikaa naye vizuri, utapata bonge la hausi na mkoko mzuri na vidoido utakavyo viomba eg nguo za mtoto mtarajiwa. Baadaye waweza amua kumzalia.
Hao watu nakwambia wana njia nyingi tu za kukutunza ila uwe mwaminifu tu kwake. Nazungumzia haya nikiwa nawajua wanawake wengi tu waliofaidi kutoka kwa watu hao.

Usemayo ni kweli hata mm nimeyaona tayar na huyu anataman apate mtoto siku moja ila sasa ngoja niongee tu na shangaz kwanza
 
Jiulize maswali haya, halafu tathimini kila jibu kwa kila swali...

Unapohusiana na mwanaume ni nini lengo la mahusiano/ hatma ya mahusiano.


1. Je unataka kuolewa?
Kama jibu ni NDIO, Je mapadre huwa wanaoa?

2. Je unataka mahusiano ya kudinyana tu?

3. Je unataka kuwa na watoto lakini si mume?
 
Usemayo ni kweli hata mm nimeyaona tayar na huyu anataman apate mtoto siku moja ila sasa ngoja niongee tu na shangaz kwanza

Weye mpuuzi kweli, shangazi ndiye aliye mtafuta?? Acha ujinga, tena usimwambiye mtu yeyote yule. Mtunze sana huyu jamaa wala usikubali wengi waijue kazi yake. Hakikisha umemchuna mapemaaa na jua kali hili. Kila akitoka huko kwao ana ngama kali mpatie vizuri atasahau wito wake na kukuachia vijisenti vyote anavyookota huko.
Shangazi atakupa nini? Ebooo
 
Weye mpuuzi kweli, shangazi ndiye aliye mtafuta?? Acha ujinga, tena usimwambiye mtu yeyote yule. Mtunze sana huyu jamaa wala usikubali wengi waijue kazi yake. Hakikisha umemchuna mapemaaa na jua kali hili. Kila akitoka huko kwao ana ngama kali mpatie vizuri atasahau wito wake na kukuachia vijisenti vyote anavyookota huko.
Shangazi atakupa nini? Ebooo

Mmnh sawa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom