Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Tevez,Sanchez,Paulista na Ramires ni baadhi kati ya wachezaji wengi wanaongea kiingereza kibovu ila hakuna anaejali muhimu ujumbe umefika hata Ngasa kiingereza sio lugha ya kwanza sioni tatizo akifanya makosa.
Wakongo na wazungu wakikosea kiswahili tunaona kawaida tu duh sijui utumwa wa akili utatuacha lini,hongera kwake kwa kujaribu ipo siku ataimuda hiyo lugha hata kwa 50%.
Hebu niambie... Steven Gerald akihojiwa Uingereza na mwandishi mwingereza, ana sababu yoyote kuchanganya na kijerumani kwenye majibu yake???
Kwa hisani ya Watu8
Last edited by a moderator: