Tevez,Sanchez,Paulista na Ramires ni baadhi kati ya wachezaji wengi wanaongea kiingereza kibovu ila hakuna anaejali muhimu ujumbe umefika hata Ngasa kiingereza sio lugha ya kwanza sioni tatizo akifanya makosa.
Wakongo na wazungu wakikosea kiswahili tunaona kawaida tu duh sijui utumwa wa akili utatuacha lini,hongera kwake kwa kujaribu ipo siku ataimuda hiyo lugha hata kwa 50%.
we nawe unamaanisha nini? Au master=mastar(kiswangish)
Na wewe unaumwa pia ndg.
Ngasa kadai ameshindwa 'kuperformance' sababu sababu alikua anakatwa hela zote.
Sasa najiuliza kulikua na ulazima gani wa kutumia kiingereza?!
Afu mademu,iv kweli Ngasa angekua ka mimi tu mngemshobokea?!
Naona division zero mnaelewana nyie kwa nyie.Acha ujinga wewe div 5, kipi hukukielewa kwa Ngasa?
CC KakaJambaziMkuu umesababisha nielekee kwa Mangi nikachukue "8.6 made from Holland" zangu 2 na embassy za jero ili niweze kulala vyema.
perfomance ni noun jamani,perfom ni verb,sasa yeye kashindwa kuperfomance,hajakosea jamani,hahahahaha
Na kweli. Halafu eti hawa ndo master wetu!!:heh:
perfomance ni noun jamani,perfom ni verb,sasa yeye kashindwa kuperfomance,hajakosea jamani,hahahahaha
Na kweli. Halafu eti hawa ndo master wetu!!:heh:
hao uliowataja wanalazimika kutumia kiingereza kwa sababu wanazungumza na watu wa mataifa mengine ambayo hiyo ni lugha wanayoifahamu, ngassa anaongea na waswahili wenzake, lugha ngeni ya nini?! Utumwa tu unamsumbua!Tevez,Sanchez,Paulista na Ramires ni baadhi kati ya wachezaji wengi wanaongea kiingereza kibovu ila hakuna anaejali muhimu ujumbe umefika hata Ngasa kiingereza sio lugha ya kwanza sioni tatizo akifanya makosa.
Wakongo na wazungu wakikosea kiswahili tunaona kawaida tu duh sijui utumwa wa akili utatuacha lini,hongera kwake kwa kujaribu ipo siku ataimuda hiyo lugha hata kwa 50%.
Ulimaanisha "Ma-Star"?...yaani nguli?
Kwani wewe unafikiri ni nini?hujasoma english?Dada una kingereza kigumu!
Performance ni noun,huh?
Huenda ikawa nimepotea njia..
Ngasa kadai ameshindwa 'kuperformance' sababu sababu alikua anakatwa hela zote.
Sasa najiuliza kulikua na ulazima gani wa kutumia kiingereza?!
Afu mademu,iv kweli Ngasa angekua ka mimi tu mngemshobokea?!