MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 951
- 357
Tevez,Sanchez,Paulista na Ramires ni baadhi kati ya wachezaji wengi wanaongea kiingereza kibovu ila hakuna anaejali muhimu ujumbe umefika hata Ngasa kiingereza sio lugha ya kwanza sioni tatizo akifanya makosa.
Wakongo na wazungu wakikosea kiswahili tunaona kawaida tu duh sijui utumwa wa akili utatuacha lini,hongera kwake kwa kujaribu ipo siku ataimuda hiyo lugha hata kwa 50%.
Umeelewa thread? Mtumwa wa akili muanzisha thread au Ngassa anayeacha kutumia kiswahili lugha anayoifahamu vyema na kubananga lugha ya watu?