Mrisho Ngassa: Nimeshindwa kuperformance!

Mrisho Ngassa: Nimeshindwa kuperformance!

Hao wote uliowataja huongea Kiingereza kwa kuwa inawalazimu kuongea Kiingereza na kama wasipoongea basi huwa na mkalimani...

Kumbuka maisha yao ya kisoka wanayaendesha katika nchi itumiayo lugha ya Kiingereza...

Hata huyo Teves wakati akiwa Uingereza alikuwa ni mgumu kujifunza kiingereza ikabidi awe na mkalimani/mkufunzi kumpa msaada...



....lakini huyu Ngassa lugha yake ya kwanza tunaijua ni Kiswahili na yupo katika nchi ambayo lugha ya kwanza ni Kiswahili.

Sasa kwa nini anahangaika kuzungumza lugha ambayo hana ubobezi nayo na kukacha lugha ambayo ndio lugha mama?

Mtu huyu akikosea lazima anyooshewe vidole tu, ujinga ni hali ya kudhani unajua kitu usichokijua....

mkuu umenikumbusha ya rais wa ujeremani na jk, full mahoka, jk anaongea lugha si yake ndani ya nchi yake, mwenzake akaongea lugha ya nchi yake ndani ya nchi ya kigeni. Kwamba kila mmoja alimwelewa mwenzake hapo sijui...
 
Ngasa kadai ameshindwa 'kuperformance' sababu sababu alikua anakatwa hela zote.
Sasa najiuliza kulikua na ulazima gani wa kutumia kiingereza?!
Afu mademu,iv kweli Ngasa angekua ka mimi tu mngemshobokea?!
Hii pia ni kali lakini haiifikii ya Harmorapa ''Mimi ni strong woman''
 
Huu uzi umenikumbusha kama Ben saanane.. kwa maneno ya waziri mkuu bungeni uwenda ben wetu ametangulia mbele ya haki..
 
Huu uzi umenikumbusha kamanda Ben saanane.. kwa maneno ya waziri mkuu bungeni uwenda ben wetu ametangulia mbele ya haki..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom