Ni binadamu..Alijitahidi kwa upande wake..Hata alipoachia madaraka alikiri..Nakumbuka alisema hivi..
Serikali ya awamu ya kwanza imefanya mazuri na ya kijinga pia..Ila ubaya wetu tunaacha mazuri tunachukua ya kijinga..
Dada
FaizaFoxy tatizo la Mpoto amechukua tabia ya CCM ."Kujisifu uongo"
Kweli anajisifu kwa mambo ambayo hajafanya,Lakini hakuwa hivi..Hii ni baada ya kampeni za CCM..
😉