Mrisho Mpoto: Kwanini wanamtukana Mke wangu?

Mrisho Mpoto: Kwanini wanamtukana Mke wangu?

Msanii Mrisho Mpoto amekasirishwa na watu wanamtukana marehemu mke wake sababu za itikadi za chama chake


Yaani usanii sanii tu kila mahali hapo ameamua kuongea kimama kimuonee huruma eti anatukanwa sababu ya chama umbwa takataka kifo ni kifo tu wote tutakufa na kusemwa tunasemwa tu kila mmoja kwa nafasi yake
 
Watu wajinga ndio wanaofanya huo ujinga, binafsi sijawahi kukaa nikamtegemea msanii kwenye mabadiliko.

Yani watanzania M60+ tuwategemee wasanii ambao hawafiki hata 100k eti watusemee changamoto zetu au watuunge mkono, kwangu huu ni ujinga kwasababu kwa wingi huo tunayonguvu kuliko hao wasanii.

Kwasasa sanaa ni biashara sio tena jukwaa la kusemea watu, ukiona unaowito wa kuwasemea watu, studio zipo wadau tupo tutakuchangia uingie studio.
 
Alianzaga vizuri sana ktk kutetea uongozi bora, hasa zile nyimbo zake za Mjomba mjomba.

Na toka apewe kadi ya Chama amepotea kabisa.
Anasifia tu saivi hata amekuwa km amehasiwa nguvu zitatoka wapi juu ya bahasha anazopokea? Akili itatoka wapi ya kuyaona madhaifu?
 
Back
Top Bottom