Mrembo wa wik!!!

Mrembo wa wik!!!

Huyo Uzuri hana na hana mvuto sasa anatumia nafasi ya kujipodoa na kujiacha uchi ili apate watu wa kumbandua. dada umaarufu hautafutwi kwa kumuasi Mungu. Jirekebisheni, ivi huyu dada kama ameanza kutembea uchi kwa kudhalilishwa na wanaume wenye uchu wa ngono ambao ushenzi wao wanaupitisha nyuma ya kivuli cha kumsaidia mwanamke kumbe matamanio ya nafsi zao ndio wameyaweka mbele. huyu dada baada ya miaka mitano mbeleni nadhani nahako kakaptula keusi atavua kabisa. ndungu mchangiaji wa kiume ivi angekuwa dada yako ungependa awe hivi? na kama usingependa unamshauri je huyu ambaye anaonesha kuwa wazazi wake wamefeli katika kumle?
 
Msilete mambo ya ze utamu we hiyo picha kakuruhusu uilete humu jf jamani au tu mnataka mwenzenu aishie kwenye msongo wa mawazo. Toa picha ya dada yako tu mmpe maksi basi.




toa maksi zako kwa mrembo wa wiki
 
Nadhani wengi hamkumtendea haki.mtoto yuko kienyeji kidogo(natural)kama kuna cream ni kidogo sana,ana macho mazuri ,ana mguu wa chupa ya serengeti,mrefu wastni,kijungu cha kupakata.sasa nyie wekeni dada au vidosho wenu tuwapambanishendo mtoe hizo marks zenu

Msilete mambo ya ze utamu we hiyo picha kakuruhusu uilete humu jf jamani au tu mnataka mwenzenu aishie kwenye msongo wa mawazo. Toa picha ya dada yako tu mmpe maksi basi.
Sina la kuongeza ni mrembo na mwenye kubisha alete za mpenzi wake au dadake kama mlivosema wadau tuwalinganishe,hamjamtendea haki msichana wa watu.
 
Watu bwana! ni wachoyo sana wa maksi. Mimi nampa 'A' ya 7.5
 
Atoe wigi tu. Mengine yote si mabaya; rangi asilia, miguu ya kuvutia,macho kungumanga
 
Ni mzuri kwa kweli, macho yanauwa, lips, sura, umbo lake si mnene wala mwembamba - acha we. nampa 95%
 
hakuna lolote hapa; mijishavu kama chura bwana halafu anakitambi design halafu sijui ni9 bar medi? kajikoboa kinoma tutolee huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom