miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Inasemekana ni yule Jackline Cliff ambaye ametokea kwenye video ya nataka kulewa ya Diamond na she got a gwan ya Marehemu Mangwair
mmh akome tu ....
Inasemekana ni yule Jackline Cliff ambaye ametokea kwenye video ya nataka kulewa ya Diamond na she got a gwan ya Marehemu Mangwair
Kuna taarifa kuwa binti mmoja maarufu katika fani ya urembo/umiss na pia ametokea kwenye videos za bongoflava amedakwa na unga huko Far East. Hii ni developing story...I will name her when it's confirmed 100%
ndo wakome.bado bwanake
Nimekumbuka enzi za Mikolo Mileki Mingi!.
Huo mzigo ulikuwa ni kwaajili ya sikukuu!
Merry X-Mass
Pasco
Anyongwe
huyu binti alisoma CBE, alikuwa hostel upanga mtaa wa mfaume, baada ya mzee max, na alikuwa na RAV4 nyekundu aliuza baada ya kusikia story za liyumba, ni kweli mzee liyumba alikuwa demu wake na iko wazi, huyu demu alikuwa anasoma certificate then diploma ya Business Admin, ila demu alianza kutokea kwenye shooting ya Ngwair, she gat gwaan, na baadae alitoka na jamaa mmoja wa east coast, na ukweli huyu demu anajulikana kuwa ana NGOMA, a.k.a ukimwi na ndio kisa cha kubwaga na jamaa wa east coast yule, na huyu demu upanga anajulikana sanaaa..
Mara kaja olewa na patrick, ak.a fundikira na mumewe yuko gerezani na kafanya shooting kibao tuu za video......!!
Ni kweli amekamatwa, macao china ila kule minimum sentence ni miaka 8, na ubalozi wa Tz wameshasibitisha na wanaomba tuu TZ msiwe na kumuombea mabaya, eti alikuwa anatafuta, so ndio anavyotuharibia wattoto na ndugu zetu? atajijuaaaaa
du kumbe alikuwa demu wa liumba?
Kama Liyumba kapita kwahyo Jux,Jamaa wa East Coast,Mtoto wa Fundikira watakuwa wameumia?
Kama muathirika anatumia ARV's (yale madawa ya George Bush), ni vigumu sana kusambaza VVU. Hii inaitwa treatment as prevention. Kwa siyo lazima kila aliyetembea na huyo dada na yeye ni muathirika.
ajali kazini kudadek uyo demu namjua very well jamaa angu m1 alimuvuaga day moko 2ko pini mamayake kumbe ana drum kwshnei
na kama walitembea na huyo dada hawawez kuathirika,ishu hapo kama walilala nae na kubadilishana makojoleo