Mrembo maarufu akamatwa na unga (developing...)

Mrembo maarufu akamatwa na unga (developing...)

kunyonga ndio dawa yao
hawataki kujishughulisha wanataka maisha ya mkato.
nyonga tu tumechoka sisi.
 
Uwe na adabu.

Asa una papara ya nini?

We subiri ukisha kuwa na uhakika ndio ulete habarri hapa!

Sio unakurupuka kama una kifafa.
 
zairwa zope zairwaaa,nimana barabara eeee
bazara nabazoroo,kangalokola kakeeeeee
mbona kanditatila mareshaaa,mobutu sesesekooooooox2

dozara sese doazara floo,ibokrezii doboyiii
engatitideboyii,nani ye kokiko sunga yekolo
sokimobutu tena nimosusu,mabutu seseseko

Izabiee, izabieeeee loso na fufu!
 
Ok kwa wale walokuwa wakilalamika 'habari nusu nusu' huyo binti anaitwa Jackie Cliff. ..appeared in Diamondz Nataka Kulewa. Was a runners up or something kwenye miss tz huko nyuma.
 
Ok kwa wale walokuwa wakilalamika 'habari nusu nusu' huyo binti anaitwa Jackie Cliff. ..appeared in Diamondz Nataka Kulewa. Was a runners up or something kwenye miss tz huko nyuma.

Findikira plus Juma Jux fanya magazijuto
 
Ok kwa wale walokuwa wakilalamika 'habari nusu nusu' huyo binti anaitwa Jackie Cliff. ..appeared in Diamondz Nataka Kulewa. Was a runners up or something kwenye miss tz huko nyuma.

Zimethibitishwa? Au na yeye watasema kemikali???
 
Mleta mada haraka ya nini sasa,ungejaribu
kufuatilia kwa umakini ili unapokuja unakuwq
vizuri sana hasa kuhusu hii habari

Sasa unataka tuwe kama waganga wa kienyeji
tunaoanza kuhisi mara flani mara sio
warembo wako wengi sana.
 
Ok kwa wale walokuwa wakilalamika 'habari nusu nusu' huyo binti anaitwa Jackie Cliff. ..appeared in Diamondz Nataka Kulewa. Was a runners up or something kwenye miss tz huko nyuma.

kama ndo huyo my instict was always telling me huyo demu ni punda....hata yule chali yake anaitwa jux nahisi nae ndo deal zake.ukienda kule instagram ndo utaona vurugu zao.
 
Ok kwa wale walokuwa wakilalamika 'habari nusu nusu' huyo binti anaitwa Jackie Cliff. ..appeared in Diamondz Nataka Kulewa. Was a runners up or something kwenye miss tz huko nyuma.

Msichana ana nyodo huyuuuuu....si ndio yy alimkana bintI kiziwi china alivyokamatwa yako wapi sasa Hahahaha
 
Mleta mada haraka ya nini sasa,ungejaribu
kufuatilia kwa umakini ili unapokuja unakuwq
vizuri sana hasa kuhusu hii habari

Sasa unataka tuwe kama waganga wa kienyeji
tunaoanza kuhisi mara flani mara sio
warembo wako wengi sana.

Kwani na wewe ulikuwa na haraka ya nini? Niliomba subira na hatimaye nimekamilisha habari kwa jina la mhusika.
 
Kwani na wewe ulikuwa na haraka ya nini? Niliomba subira na hatimaye nimekamilisha habari kwa jina la mhusika.



Poa Mkuu
Yaani hawa wanyongwe juzi maiti Moro ikiwa
na sembe leo mrembo. Nchi hii ni aibu maana
vijana ---------- vibaya sana kuhusu haya
mambo ya kutaka maisha rahisi.
 
Msichana ana nyodo huyuuuuu....si ndio yy alimkana bintI kiziwi china alivyokamatwa yako wapi sasa Hahahaha

e81d92727e9211e2aef922000a9f3c05_7.jpg
 
zairwa zope zairwaaa,nimana barabara eeee
bazara nabazoroo,kangalokola kakeeeeee
mbona kanditatila mareshaaa,mobutu sesesekooooooox2

dozara sese doazara floo,ibokrezii doboyiii
engatitideboyii,nani ye kokiko sunga yekolo
sokimobutu tena nimosusu,mabutu seseseko

Grand Metre'
 
Hahahaha Franco Luambo Makiadi

Unafikiri najua basi, mbwembwe tu.

Mtu usipokua makini unaweza kata tamaa ya maisha bure kumbe watu iko namna wafanya. Si maanishi tusipambane kwenye maisha ila usikate tamaa kwa kuangalia wengine wanavyofanikiwa kwa sababu huwezi jua wanatumia njia gani.

Ila haya mambo yanatuletea aibu sana, na kama kweli serikali hawana siasa, wangeanza kushughulika na mtandao huu kwa ukali zaidi.
 
Kuna taarifa kuwa binti mmoja maarufu katika fani ya urembo/umiss na pia ametokea kwenye videos za bongoflava amedakwa na unga huko Far East. Hii ni developing story...I will name her when it's confirmed 100%

Jack patrick
 
Back
Top Bottom