HILI BADO HALIJAHITIMISHWA.....mara ngapi ametimuliwa na ANAJIREJESHA?
Mkuu umenena. Au tumesahau Ndolanga alivyokuwa kisiki cha mpigo pale TFF (former FAT)!
HILI BADO HALIJAHITIMISHWA.....mara ngapi ametimuliwa na ANAJIREJESHA?
I don't understand this; kwani Kawambwa alishindwa na kitu gani au Magufuli kaja na nguvu gani nje ya zile ambazo Kawambwa alikuwa nazo; this just make Kawambwa aonekane vibaya. Haiwezekeni watu wamsubiri Magufuli. Msije kuniambia kuwa hata ATCL sasa imepata kiongozi?
Sio swala la kupumbaza watu kusherehekea hilo!! maana wote wezi hao, wanajipanga nyie mnashangilia nini? Magufuli silolote si Chochote hajarudisha nyumba alizouza anatoa beki anaweka beki nyie mnashangilia kuweni makini Jamani maana hata huyo Mrema yawezekana katolewa kwasababu Mchaga
Kama kweli itakuwa faraja kwa ukwibaji wa hela za watz pale Tz
wabunge wakapiga kelele last time, last time ni lini? alitaka kuongezewa muda au alishaongezewa? Na kama muda wa mkataba wake ulishaisha mbona bado alikuwepo? Uliisha lini, jana?Muda wa mkataba wake ulishaisha,
Alitaka kuongezewa muda kinyemela na jk ndo maana wabunge last time wakapiga kelele sana nafasi itangazwe upya.
Kama ni kweli basi JF ni kiboko!! Maana watu wa Tanroads wenyewe hata habari bado hawajazipata. Kwa vile mleta hoja amesema ni tetesi then ibaki kuwa hivyo mpaka itakapodhibitishwa.
ATCL ipo chini ya Wizara gani; Ujenzi au Uchukuzi?