Mrema wa TANROADS ang'olewa rasmi

Mrema wa TANROADS ang'olewa rasmi

mwache aondoke ameiba sana hela za wavuja jasho maskini wa Tanzania.. na ndiyo maana nasema kuwa katiba ya nchi ibadilishwe, huyu jamaa alitakiwa ashtakiwe na afilisiwe haraka iwezekanavyo...
 
Hili swala limeongelewa kilevi hadi litaisha niliuliza nini sababu ya kumsifia Magufuli nini Uchafu wa huyu bwana na Usafi wa magufuli sijaona reasonable selection indicators labda ni kama kupiga makofi kushangilia utamu wa goli; kwasababu timu iliyofunga ni yangu au yako! nasema hii ni timu moja wanacheza pamoja, kubadilisha wachezaji sio hoja hata kidogo na hamna kondoo katika kundi la mbwa mwitu! kama kuna mazuri na matatizo yaletwe tuyajadili tumekwisa sema baya la nyumba juu ya magufuli tupewe majibu
 
Kumbe sio kila Dr ni msimamizi hodari, nini kilimshinda Dr Kawambwa kumshughulikia huyu jamaa? Dr Magfuli katia timu tu jamaa out hamna ng'wii wale ng'wee. Sasa Kawambwa kapewa Elimu huko ndo atawambwa vizuri tusubiri.
 
Habari from TANROAD zinathibitisha kuwa Katibu mkuu, Naibu katibu mkuu na HR wa Miundo mbinu wamempa dispatch Mr Mrema na nafasi yake imechukuliwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa barabara vijijini Mr Mfugale. Na aliyekuwa meneja wa Tanroad Dar (Mr Nyabakari) amekuwa mkurugenzi wa Miradi-director of projects.

More to come tomoror

Ni heri ameondoka.Kwanza hata uteuzi wake TANROADS ulikuwa wa mizengwe mno.Inaelekea kuteuliwa kwake kulikuwa na agenda za kifisadi.Well done Magufuli,ila tunapashwa kukuombea sana hawa jamaa sio wazuri hata kidogo.
 
kwa kua habarizilisema kuwa magufuli alikua aende kwanza pata baraka za JK,it meansmkuu kakubali,ss kaa izi habari ni za kweli i wish mkuu angekua ana toa baraka za namna hii fasta fasta esp mara apokeapo ripoti za viongozi wasio aadilifu kama hawa...ss sijui wale wa takukuru,nc twende tukawaripoti wapiii.......kweli huu ni mwaka wa lala salama,MREMA KARIBU KIJIWENI...USICHEZE NA POMBE HANA MCHEZO
Kumbe tumbua tumbua imeanza tangu akiwa waziri
 
Kweli magufuli mwanaume, tungekuwa na viongozi kama kumi wa hivi i am sure tungeenda mbali maaana magufuli haogopi mtu, Kila anakoenda lazima atimue mtu pale ardhi, TIBAIJUKA FANYA MAMBO FUKAZA HAO, WIZARA YA AFYA Dr HAJI angalia hao, hela za wahisani zinapotea tu, tunapewa net badala ya kuua masalia ya mbu?? HUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU, ELIMI, UTALIIIIIIIIIIIIIII PAMEOZA, KULE BANDARINI KUMEOZAAAAAAAAAAAA
Ulisema vyema na sasa anaendeleza moto ule ule bila mchezo.
 
hata upumbuvu mtashangilia tu kwa sababu wa Tz tuna tabia za wivu, husda na umbea wa kike.
 
Habari Njema, Mrema ameisaidia CCM katika pesa za kampeni barabara ya bagamoyo haikujengwa pesa zilipitia SUMA JKT kisha zikaliwa wakati wakandarasi viongozi wale wa koprea wanashangaa kwanini pesa ililipwa SUMA wakati wale walikuwa Subcontractors wakapewa wakafanye barabara nyingine,

Good NUUUUZ if its true
Duuuh . . . . inatia hasira sana
 
Back
Top Bottom