Mrejesho wa connection za wataalam(waganga) wa kutoa UTAJIRI, ukimuona tajiri mpe HESHIMA YAKE

ngeti

New Member
May 11, 2022
1
2,386
Ndugu zangu maisha sio kutafutana, maisha ni kutafuta, mwanaume kama huna pesa, basi niseme maisha yako yatakua ya hovyo na utakufa ukiwa na uchungu sana..

Safari ni ndefu sana iliyojaa tabu shida na changamoto kubwa sana, nasema ukimuona tajiri ana pesa zake tafadhali mpe heshima yake bila kinyongo.

Nidiriki kusema wakuu nishavuka mto na mtumbwi kwenda tu kusaka utajiri, nshavuka mkondo wa maji yanayoenda kasi nikiwa na bodaboda, yote kusaka utajiri, kote huko unaenda na unapitia shida ila unakuta ni wasanii tu, nimepiga hadi zambia unaingia kwa mtaalam unakuta mijoka, malawi sijui chitipa, ileje, tunduma, kote huko usanii tu hamna lolote, na unakuta konekshen unapata humu humu, kumbe watu wana lao jambo, wengi huku ni matapeli, na konekshen unakuta unapewa na members humu wengine ni maarufu kabisa ila kumbe unakuja gundua ni wasanii tu, na mishe zao mjini za kisanii yan wanaish kwa deiwaka!

Ila naamin kuna mataita wanaoeleweka wenye konekshen za ukweli humu sio rahis wakupe konekshen mana wanakuangalia kama wewe ni mtu umedhamiria au hoya hoya tu, kwaio wale wenzangu na mimi mnaotafuta hizi konekshen msifikirie ni jambo rahisi sana, na pia niwape ushaur tusikate tamaa, ilibaki kidogo nijiunge freeemason, hadi kidogo kujiunga na secret cults za huko nigeria, ila sjui ndio msemo wa ng'ombe wa maskini hazai, dah!,

Binafsi najua humu kuna mataita kwaio bado sijakata tamaa naendelea kusaka utajiri , umaskini hauzoeleki mataita nisaidieni koneksheni.
 
Nicheki PM
Nakupa Namba ya mtaalamu.

Mashart yake ni
Kuna chupa atakupa ndani ya hilo chupa kuna jini au viumbe wanaokusaidia kukupa pesa hutakiwi kushika chupa hilo baada ya kufanya mapenzi

Kila alhamis na jumatano una fungua chupa na kuchoma ubani..

Aliwai nambia ipo ya nyoka. Ipo ya kuua ndugu zako, mama yako mkeo na mtoto wako.

Utawasiliana nae zaidi.

Alafu mrejesho utatoa hapa mbela ya uzi
 
Sema nini wakuu?? Humu kinachowaponza ni mambo madogo madogo. Hasa haya:

1 KUTOKUWA NA SIRI.

2 KUDHANIA KILA MTU NI TAPELI.

Kuna watu nishawahi kuwapq offer ya madude ya kuvuta wateja dukani, hahaha wakadhani nataka kuwatapeli.

Mwingine anakuja pm anataka umsaidie jambo fulani, unampa ABC, akishaona tu ujumbe na kuusoma anaishia mitini, hakuna cha asante wala mrejesho.

Nishawahi kujitolea kuwapa wasichana dawa ya kuchoma dukani kuvuta wateja dukani and IT WORKS 100%, I don't know how and why it works but IT WORKS 100%.

Nikawaambia hii sio ya kuwauzia ila ni ya kuwaonesha, nikawaambia lazima usafiri uje huku niliko na usiwe umeolewa na sitaki malipo yoyote.

Juzi Kati kuna member alianzisha uzi akilia lia anahitaji msaada wa jambo fulani, nikakwambia njoo pm, kuna nikamuelekeza cha KUFANYA, Toka muda huo sijaona ujumbe wowote wa shukrani wala nini.

NYIE WATU MNAJIFANYA KUTAKA MSAADA LAKINI HAMSAIDIKI.

Tunaleta experience zetu bado mtu anasema ni TANGAZO la biashara.!!!!!!!! Kila mtu abaki na anachojua
 
Nicheki PM
Nakupa Namba ya mtaalamu.

Mashart yake ni
Kuna chupa atakupa ndani ya hilo chupa kuna jini au viumbe wanaokusaidia kukupa pesa hutakiwi kushika chupa hilo baada ya kufanya mapenzi

Kila alhamis na jumatano una fungua chupa na kuchoma ubani..

Aliwai nambia ipo ya nyoka. Ipo ya kuua ndugu zako, mama yako mkeo na mtoto wako.

Utawasiliana nae zaidi.

Alafu mrejesho utatoa hapa mbela ya uzi
Mi nataka ya kuuwa wabunge wote maana they are useless
 
Baada Ya Kupita Haya Ya:-
Deci
Mr Kuku
Kalyanda
Jatu
Betting
Freemason

Inakuja Ya Utajiri Wa Nyoka, Na Aina Nyingi Chungumzima
 
MIMI NAANDIKA NA NINA MGANGA WA UHAKIKA
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 5000 Kwa akili ya connection.
Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama Quality is Expensive kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo utapeliwe.
Nikimtapeli mtu anireport nipigie life ban
Karibuni PM/DM
Tatizo kubwa ni usumbufu wawatu
Kuja dm na kukimbia
kuuliza maswali yasiyona kichwa
waulizeni wenzenu niliowapa namba jinsi wamefanikiwa kimaisha.
watu wanaamini uganga hausaidii watu asikudanganye mtu waganga uzunguni ni matajiri sana kama unataka uamini
Ingia TikTok Kuna jamaaa anaitwa DANIEL MACDONALD anaulizaga wazungu matajiri what do you do for a living wengi ni waganga na wale dream tellers watafsiri wa ndoto na conclude
 
Naomba kuuliza jamani,hivi ni kweli Kuna waganga wanaoweza kumpa mtu utajiri Kwa namna yoyote? Kama yupo mtu anaeweza kunisaidia kuelewa vizuri kuhusu hili naomba anisaidie inbox au 0747658718
 
Back
Top Bottom