Asante ninazifatiliaHongera sana ndugu yangu kwa kujikwamua kimaisha kwa ufugaji, hii fursa ni nzuri sana iwe kijijini iwe mjini umakini tu ndo unahitajika, katika changamoto yako ya chakula vp hujawai jifunza mbinu ya kutumia hydroponic fodder, nasikia hizi zinapunguza sana gharama ya chakula kwa mifugo.
Asante, chakula changu kikuu nilikuwa nawapa pumba zilichanganywa na mashudu ya alizetiKatka suala la nguruwe siyo kwamba ndo kila mtu akianza kufuga atapata effects kama ulivyopata wew, nguruwe siyo kwamba anahitaji hayo2 ili akue, kuna mahitaj mengine ambayo ulikuw huyatimizi, ikiwemo ratio ya msosi kwa siku,
Ungejarib kupata utaalam zaid kwa wazoefu & ma expert wa kilimo, dawa zina participate pakubwa sana katika ukuaji wa nguruwe, n.k
Nguruwe hakuwapatia tu, wafugaji nguruwe wengi wanaotegemea pumb hawapati faida lukuki.Binafsi nakushauri USIRUDI tena kwenye NGURUWE na TIKITI.
Ni muda wa kukomaa na kukuza kile kinacholeta MWANGA.
Trial and Error is Over. Komaa Na Ng'ombe Wa Maziwa.
Ungepiga mashudu peke yake hapo kwenye pumba ndipo ulipokosea nguruwe wanadhoofikaAsante, chakula changu kikuu nilikuwa nawapa pumba zilichanganywa na mashudu ya alizeti
Wakati fulani kama jambo hujui ni bora ukae kimya kuliko kumpoteza jamaa,Hivi inawszekanaje nguruwe kula mashudu pekeyake bila pumba?Ungepiga mashudu peke yake hapo kwenye pumba ndipo ulipokosea nguruwe wanadhoofika
Wazo zuri kwa mazao yasiotunzika hasa matunda inabidi kuwe na uwekezaji mkubwa wa viwanda vya matunda ili vinunue mali ghafi toka kwa wakulima kwa mkatabaAsante sana umeeleza kwa ufasaha kabisa kutokana na uzoefu! Mimi hayo yoote yaliwahi kunitokea! Motivational speakers Mungu anawaona! Hawa jamaa wanaenda kwenye mitandao wanatafuta notice zinazohusu ufugaji wa wanyama lengwa na ulimaji wa mazao lengwa lengo lao ni kutangaza seminar (training) ili wapige hela kwa kila kichwa cha washiriki.
Akitarget washiriki let say 100 na kila mshiriki akilipa (mara nyingi au kwa wastani wa wengi) 30,000 atapata million 3 akiondoa gharama za ukumbi na makarablasha mengine hakosi million 2 ndani ya siku mbili au tatu.
Jamani tushtuke! Kwa nchi zetu za kiafrika Tanzania ikiwemo kinatochoturudisha nyuma ni soko ulia ambalo halijadhibitiwa kibiashara ambapo baada ya kuvuna mazao au wanyama ukipeleka sokoni unakuta limejaa bidhaa hiyo na kukosa wateja kupelekea kuuza kwa hasara!
Nchi za mfumo wa ubepari unaingia mkataba na mnunuzi kabla ya kulima au kufuga ili kujihakikishia kurudisha gharama za uzalishaji! Hata hivyo inabidi uweke dhamana kwa mnunuzi kama utashindwa kusupply. Hii ndo njia pekee itakayowafanya wajasiriamali wa kilimo na ufugaji kutoka.
Kabla ya kufuga unahitaji kupata elimu ya kutosha juu ya ufugaji, chakula +banda+madawa ila sio mengi na ni rahisi Sana! Karibu ni mradi mzuri ukilingana na imani za wengi! Wateja wa maziwa huwezi wamaliza ni wengi kila mahali. Ushauri mkubwa ninaokupa wasiliana na afisa mifugo aliye karibu nawe,Mkuu nimependa sana mrejesho wako
Umetoa elimu yenye exprience yan hujaleta bla bla umeenda field umerud na matokeo yote HASI na CHAYA sasa mi nitahitaji unipe mrejesho wa Hao ngombe wa kisasa juu ya ufugaji wake,Bei zao na vitu vingne vinavyohusiana maana next week tu nilitaka nijitupe kwenye nguruwe ila naona Elimu yako imenifumbua sana hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikwama kwenye chakula. Nguruwe huwezi kumlisha pumba tu utegemee atakuwa kwa kiwango kinachotakiwa.Umesema ukweli ijapo juu ya ufugaji wa nguruwe kuna sehemu ulikuwa unakwama
inawezakana ulileta ufugaji wa makaratasi zaidi kumbe makaratasi sio usahihi wa jambo
Ila tunashkuru kwa mrejesho
Inawezekana mkuuAlikwama kwenye chakula. Nguruwe huwezi kumlisha pumba tu utegemee atakuwa kwa kiwango kinachotakiwa.
God save us
Sawa na kumlisha paka mkate utegemee afutuke freshi! Lazma atachonga tu
Natamani kupata taarifa kwa mfaidika wa wale wadau wa piglets wa humu na insta, maana piglets wao ukiwaona katika post zao na umri unaotajwa kidogo huwa naona kisanga. Na pia bei zao za piglets sio haba zimesimama kwelikweliHahahahahaha mkuu umenivunja mbavu eti "Kulisha nguruwe ni kipawa toka mbinguni" ase umenena Mimi nilianza na 10 wakubwa uwiiii wasikieni tu nguruwe wanakula vibaya mno hahahaha malengo yangu nifikishe 100+ nilinyoosha mikono sijui inakuwaje ukiwa na number kubwa kwenye ulaji niliuza woteee shubamit Ila nasikia kuna hybrid nzur wanakua fasta na hawali sana au ndo janja za wauza piglets