Mrejesho: Naomba msaada wa ada

Mrejesho: Naomba msaada wa ada

Io pesa bora ufanyie biashara icho cheti na hicho chuo ulichosoma kupata kazi ya maana ni majaliwa kwa tz ya sasa
Mi naonA io pesa fanyia mtaji kwenye harakati zako.
Asante kwa ushauri mkuu.

Itanilazimu kulipa ada ili kuonesha uaminifu.

Nakihitaji cheti ili niweze kupeleka TSD niweze kupewa ajira maalum za serikali.
 
Ndio na hawakutoa siku moja.

Ni baada ya kuwasumbua miezi zaidi ya nane bila kukata tamaa,i gues walinipa ili kuepuka usumbufu.

Yaani hao DC na DAS wao wawili wameshindwa kukusaidia hata m 1 wameamua kukupa barua ya kuchangisha!??

Ila kila la kheri mungu atakusaidia mkuu
 
M
Habari za leo.

Katika uzi uliopita nilichapisha uzi ufuatao...


Kwa lengo la kukusanya michango ya kifedha ili niweze kukomboa cheti changu cha kuhitimu Astashahada ya ualimu.

Ikumbukwe mlezi wangu alipata matatizo kwa kupoteza ajira yake,hii ilipelekea kushindwa kumudu kumaliza ada ya chuo.

Katika harakati za kutafuta shughuli za kujikimu nilibahatika kukutana na mwana-jamiiforum mmoja aliyejitolea kunisaidia kuomba ajira kutoka TSD.

Hata hivyo TSD wao huhitaji vyeti ili waweze kukuhudumia katika kusaidia watu wenye changamoto mbalimbali za Ulemavu kuweza kupata ajira.

Bahati mbaya vyeti sikuwa navyo na chuo hakikuwa tayari kunipatia bila kumaliza deni la ada kwa jumla ya tsh 1,160,000/=

KWANINI NAOMBA MSAADA.?

Mosi,Kwa sababu familia yangu haina uwezo kwa sasa baada ya mtegemezi kupoteza kibarua.


Pili,baada ya miezi tisa ya kutafuta ajira na miezi nane ya kujitolea bila malipo pamoja na kufuatilia kwa viongozi mbalimbali wa mkoa juu ya suala hili,mwisho wa siku wakanipatia kibali cha kuchangisha hivyo ndio sababu kuu ya kuja kwenu.

Tatu,kutokana na hali ya sasa ya upatikanaji wa ajira na hali ya ulemavu wa masikio imeniwia vigumu sana kupata ajira na vibarua mbalimbali hivyo kuishi katika mazingira magumu.

Nne,Hitaji la kujikwamua kimaisha na,

Tano,ukosefu wa mtaji na rasilimali katika kujiajiri.


HIVYO BASI:Kwa wana-Jamiiforum,viongozi na taasisi mbalimbali:

Ni matumaini yangu kuwa kila mmoja anaweza kuwa msaada kwangu kwa nafasi yake katika kunisaidia katika hili.

Nawasilisha kwenu kibali cha kuchangisha pamoja na orodha ya waliojitolea kunisaidia kwa chochote.

Ahsante na Mungu awabariki sana.

Kwa mawasiliano:

0677-421-378-Tigo.
0776-741-545-Zantel.

View attachment 1194531View attachment 1194532
Mrejesho: habarini za asubuhi wanajamvi natumaini tu wazima humu,
Baada salamu naomba kwenda kwenye mada iliopo na kuwaletea kile ambacho niliahidia nitafuatilia kujua ukweli, ndugu zangu nimeamka leo mapema na kwenda kukitafuta hicho chuo alichosoma mwenzetu na kujua kama kweli amesomea hapo .
Ukweli ni kwamba huyu mwanafunzi amesomea hapo kweli na chuo ni chenyewe kweli kinamilikiwa na kanisa la Romani catholic, kwa bahati mbaya sikubahatika kuonana na mkuu wa chuo hiki nimeambiwa yupo safarini ila nimekutana na makamu wake kwa jina anafahamika kama ERNEST JUMBANI (vice principal) na kwa bahati nzuri zaidi huyu nae akawa ni mnyaturu tena tumetoka kijiji kimoja hivyo tuliongea kwa lugha ya kinyumbani zaidi na kunihakikishia kuwa kijana huyu amemfundisha yeye na anafahamu kila kitu kuhusu mwenzetu huyu na yeye ndio alipigania asifukuzwe chuo bali asome atakuja kulipa baadae kutokana na hali yake, japo wenzie ambao walikuwa hawajalipa kama yeye walifukuzwa chuo.

Ni kweli anadaiwa ila makamu huyu hakuwa tayari kutaja gharama halisi akiogopa kujichanganya maana mhasibu hakuwepo lakini aliniambia ni zaidi ya milioni moja, na akasema waliwahi kupata simu kutoka kwa mkuu wa wilaya ya huko mtwara alipo huyu ndogo yetu na waliombwa kutoa gharama zote na walipewa gharama hizo lakini mpaka sasa wapo kimya na hawajatekeleza chochote, lakini makamu wa chuo hichi ameniahidi mara tu mkuu wa chuo atakapo rudi atanipigia simu na kwenda kunipa gharama zote na kunipa mrejesho kutoka kwa DC huyo aliewahi kuulizia gharama zote anazodaiwa kijana huyu.

Maoni yangu:
Nianze mimi mwenyewe kuwa nimeridhika na maelezo yote na nipo tayari kumchangia mwenzetu huyu kiasi cha Tsh.100,000/= na nilikuwa na ombi kwa wanajamvi watakao kuwa tayari kumsadia mwenzetu wafanye hivyo kwa moyo mmoja huyu bwana ni kweli ana shida hii.

Swali: Je! hii fedha tumchangie kumpa yeye au tumwambie mkurugenzi wetu Melo atukusanyie na mara itakapotimia apewe account ya chuo alipe then amtumie pay slip ndugu yetu akachukue cheti?
Naomba kupata mawazo ya namna ya kukusanya michango hii?
20190909_104225.jpg
 
Niombe pia kama hizo taarifa sio za kweli na kama hamjui huyo makamu basi akanushe hapa hadharani kama kuna wadau pia watahitaji kupata mawasiliano ya viongozi hao wa chuo nipo tayari kuziweka hapa
 
Asante sana kaka,sina cha kukulipa,kwa muda wako,rasilimali zako na kujitolea kwako,Mungu akubariki.

Mkurugenzi melo nadhani ni mtu mmoja bussy sana,ningeshauri wewe mwenyewe ndiye ukusanye chochote kitakachopatikana na ulipe na kunipatia payslip endapo bado upo huko Singida.

Mbali na yote,narudia tena Mungu awabariki kwa Moyo wa ukarimu na kujitoa kwa mtu baki,ingawaje bado kila mtu ana matatizo yake pia.
 
Niombe pia kama hizo taarifa sio za kweli na kama hamjui huyo makamu basi akanushe hapa hadharani kama kuna wadau pia watahitaji kupata mawasiliano ya viongozi hao wa chuo nipo tayari kuziweka hapa
Rudia kusoma ulichokiandika
 
Asante sana kaka,sina cha kukulipa,kwa muda wako,rasilimali zako na kujitolea kwako,Mungu akubariki.

Mkurugenzi melo nadhani ni mtu mmoja bussy sana,ningeshauri wewe mwenyewe ndiye ukusanye chochote kitakachopatikana na ulipe na kunipatia payslip endapo bado upo huko Singida.

Mbali na yote,narudia tena Mungu awabariki kwa Moyo wa ukarimu na kujitoa kwa mtu baki,ingawaje bado kila mtu ana matatizo yake pia.
Ngoja waje wanajamvi washauri pia wao kwa hili mkuu
 
Naomba mkuu Maxence Melo na MOD wengine watuongoze kupata taarifa za taasisi inayoshikilia chetu cha mhusika yaani kiasi chote anachodaiwa na njia wanazopokea malipo kama hayo e.g Account halafu uongozi utusaidie kupokea michango yetu na itakapotimia waiwakilishe kwa wahusika (Taasisi husika). Nadhani hili likifanikiwa itakuwa sehemu ya mchango wa JF kwa jamii.to

Ahsante
Pointi sana hii ,ikifanyiwa kazi itatupa imani
 
M

Mrejesho: habarini za asubuhi wanajamvi natumaini tu wazima humu,
Baada salamu naomba kwenda kwenye mada iliopo na kuwaletea kile ambacho niliahidia nitafuatilia kujua ukweli, ndugu zangu nimeamka leo mapema na kwenda kukitafuta hicho chuo alichosoma mwenzetu na kujua kama kweli amesomea hapo .
Ukweli ni kwamba huyu mwanafunzi amesomea hapo kweli na chuo ni chenyewe kweli kinamilikiwa na kanisa la Romani catholic, kwa bahati mbaya sikubahatika kuonana na mkuu wa chuo hiki nimeambiwa yupo safarini ila nimekutana na makamu wake kwa jina anafahamika kama ERNEST JUMBANI (vice principal) na kwa bahati nzuri zaidi huyu nae akawa ni mnyaturu tena tumetoka kijiji kimoja hivyo tuliongea kwa lugha ya kinyumbani zaidi na kunihakikishia kuwa kijana huyu amemfundisha yeye na anafahamu kila kitu kuhusu mwenzetu huyu na yeye ndio alipigania asifukuzwe chuo bali asome atakuja kulipa baadae kutokana na hali yake, japo wenzie ambao walikuwa hawajalipa kama yeye walifukuzwa chuo.

Ni kweli anadaiwa ila makamu huyu hakuwa tayari kutaja gharama halisi akiogopa kujichanganya maana mhasibu hakuwepo lakini aliniambia ni zaidi ya milioni moja, na akasema waliwahi kupata simu kutoka kwa mkuu wa wilaya ya huko mtwara alipo huyu ndogo yetu na waliombwa kutoa gharama zote na walipewa gharama hizo lakini mpaka sasa wapo kimya na hawajatekeleza chochote, lakini makamu wa chuo hichi ameniahidi mara tu mkuu wa chuo atakapo rudi atanipigia simu na kwenda kunipa gharama zote na kunipa mrejesho kutoka kwa DC huyo aliewahi kuulizia gharama zote anazodaiwa kijana huyu.

Maoni yangu:
Nianze mimi mwenyewe kuwa nimeridhika na maelezo yote na nipo tayari kumchangia mwenzetu huyu kiasi cha Tsh.100,000/= na nilikuwa na ombi kwa wanajamvi watakao kuwa tayari kumsadia mwenzetu wafanye hivyo kwa moyo mmoja huyu bwana ni kweli ana shida hii.

Swali: Je! hii fedha tumchangie kumpa yeye au tumwambie mkurugenzi wetu Melo atukusanyie na mara itakapotimia apewe account ya chuo alipe then amtumie pay slip ndugu yetu akachukue cheti?
Naomba kupata mawazo ya namna ya kukusanya michango hii?View attachment 1202406
Cc Mpauko

Chuo kinaitwa ST. BERNARD TEACHER'S COLLEGE Kilianzishwa mwaka 2012, zamani kilikuwa chuo cha biblia, Chuo kipo mkoa wa SINGIDA, WILAYA YA SINGIDA MJINI, ENEO LA MISUNA TAKRIBANI KILOMETA 1 TOKA STEND MPYA MISUNA.

Chuo kinamilikiwa na kanisa katoliki dayosisi ya singida.

Mkuu wa chuo anaitwa Fr. Gilbert mwiru, Makamu ni Mr. Ernest Jumbani, mwadili ni Mr. Amasi.

Mawasiliano ya mkuu wa chuo ni 0786013103 (Fr. Mwiru)
 
Cc Mpauko

Chuo kinaitwa ST. BERNARD TEACHER'S COLLEGE Kilianzishwa mwaka 2012, zamani kilikuwa chuo cha biblia, Chuo kipo mkoa wa SINGIDA, WILAYA YA SINGIDA MJINI, ENEO LA MISUNA TAKRIBANI KILOMETA 1 TOKA STEND MPYA MISUNA.

Chuo kinamilikiwa na kanisa katoliki dayosisi ya singida.

Mkuu wa chuo anaitwa Fr. Gilbert mwiru, Makamu ni Mr. Ernest Jumbani, mwadili ni Mr. Amasi.

Mawasiliano ya mkuu wa chuo ni 0786013103 (Fr. Mwiru)
Asante..data zote ni sahihi,Barikiwa.
 
M

Mrejesho: habarini za asubuhi wanajamvi natumaini tu wazima humu,
Baada salamu naomba kwenda kwenye mada iliopo na kuwaletea kile ambacho niliahidia nitafuatilia kujua ukweli, ndugu zangu nimeamka leo mapema na kwenda kukitafuta hicho chuo alichosoma mwenzetu na kujua kama kweli amesomea hapo .
Ukweli ni kwamba huyu mwanafunzi amesomea hapo kweli na chuo ni chenyewe kweli kinamilikiwa na kanisa la Romani catholic, kwa bahati mbaya sikubahatika kuonana na mkuu wa chuo hiki nimeambiwa yupo safarini ila nimekutana na makamu wake kwa jina anafahamika kama ERNEST JUMBANI (vice principal) na kwa bahati nzuri zaidi huyu nae akawa ni mnyaturu tena tumetoka kijiji kimoja hivyo tuliongea kwa lugha ya kinyumbani zaidi na kunihakikishia kuwa kijana huyu amemfundisha yeye na anafahamu kila kitu kuhusu mwenzetu huyu na yeye ndio alipigania asifukuzwe chuo bali asome atakuja kulipa baadae kutokana na hali yake, japo wenzie ambao walikuwa hawajalipa kama yeye walifukuzwa chuo.

Ni kweli anadaiwa ila makamu huyu hakuwa tayari kutaja gharama halisi akiogopa kujichanganya maana mhasibu hakuwepo lakini aliniambia ni zaidi ya milioni moja, na akasema waliwahi kupata simu kutoka kwa mkuu wa wilaya ya huko mtwara alipo huyu ndogo yetu na waliombwa kutoa gharama zote na walipewa gharama hizo lakini mpaka sasa wapo kimya na hawajatekeleza chochote, lakini makamu wa chuo hichi ameniahidi mara tu mkuu wa chuo atakapo rudi atanipigia simu na kwenda kunipa gharama zote na kunipa mrejesho kutoka kwa DC huyo aliewahi kuulizia gharama zote anazodaiwa kijana huyu.

Maoni yangu:
Nianze mimi mwenyewe kuwa nimeridhika na maelezo yote na nipo tayari kumchangia mwenzetu huyu kiasi cha Tsh.100,000/= na nilikuwa na ombi kwa wanajamvi watakao kuwa tayari kumsadia mwenzetu wafanye hivyo kwa moyo mmoja huyu bwana ni kweli ana shida hii.

Swali: Je! hii fedha tumchangie kumpa yeye au tumwambie mkurugenzi wetu Melo atukusanyie na mara itakapotimia apewe account ya chuo alipe then amtumie pay slip ndugu yetu akachukue cheti?
Naomba kupata mawazo ya namna ya kukusanya michango hii?View attachment 1202406
Mungu akubariki Sana Kaka yangu.
Chukua hili Neno hes6:24-26
 
Hii ndio dini iliyo Safi,isiyo na taka mbele za Mungu.
ISAYA:35:8
And an highway shall be there, and a way, and it shall be called The way of holiness; the unclean shall not pass over it; but it shall be for those: the wayfaring men, though fools, shall not err therein.
 
M

Mrejesho: habarini za asubuhi wanajamvi natumaini tu wazima humu,
Baada salamu naomba kwenda kwenye mada iliopo na kuwaletea kile ambacho niliahidia nitafuatilia kujua ukweli, ndugu zangu nimeamka leo mapema na kwenda kukitafuta hicho chuo alichosoma mwenzetu na kujua kama kweli amesomea hapo .
Ukweli ni kwamba huyu mwanafunzi amesomea hapo kweli na chuo ni chenyewe kweli kinamilikiwa na kanisa la Romani catholic, kwa bahati mbaya sikubahatika kuonana na mkuu wa chuo hiki nimeambiwa yupo safarini ila nimekutana na makamu wake kwa jina anafahamika kama ERNEST JUMBANI (vice principal) na kwa bahati nzuri zaidi huyu nae akawa ni mnyaturu tena tumetoka kijiji kimoja hivyo tuliongea kwa lugha ya kinyumbani zaidi na kunihakikishia kuwa kijana huyu amemfundisha yeye na anafahamu kila kitu kuhusu mwenzetu huyu na yeye ndio alipigania asifukuzwe chuo bali asome atakuja kulipa baadae kutokana na hali yake, japo wenzie ambao walikuwa hawajalipa kama yeye walifukuzwa chuo.

Ni kweli anadaiwa ila makamu huyu hakuwa tayari kutaja gharama halisi akiogopa kujichanganya maana mhasibu hakuwepo lakini aliniambia ni zaidi ya milioni moja, na akasema waliwahi kupata simu kutoka kwa mkuu wa wilaya ya huko mtwara alipo huyu ndogo yetu na waliombwa kutoa gharama zote na walipewa gharama hizo lakini mpaka sasa wapo kimya na hawajatekeleza chochote, lakini makamu wa chuo hichi ameniahidi mara tu mkuu wa chuo atakapo rudi atanipigia simu na kwenda kunipa gharama zote na kunipa mrejesho kutoka kwa DC huyo aliewahi kuulizia gharama zote anazodaiwa kijana huyu.

Maoni yangu:
Nianze mimi mwenyewe kuwa nimeridhika na maelezo yote na nipo tayari kumchangia mwenzetu huyu kiasi cha Tsh.100,000/= na nilikuwa na ombi kwa wanajamvi watakao kuwa tayari kumsadia mwenzetu wafanye hivyo kwa moyo mmoja huyu bwana ni kweli ana shida hii.

Swali: Je! hii fedha tumchangie kumpa yeye au tumwambie mkurugenzi wetu Melo atukusanyie na mara itakapotimia apewe account ya chuo alipe then amtumie pay slip ndugu yetu akachukue cheti?
Naomba kupata mawazo ya namna ya kukusanya michango hii?View attachment 1202406

Sorry kwa kunukuu maoni marefu ila ushauri wangu haya maelezo yako yaweke juu kabisa kwenye uzi wa mhusika ili watu wanaposoma wajue ufwatiliaji ulishafanywa. Pia muweke namba za kuchangia
 
Sorry kwa kunukuu maoni marefu ila ushauri wangu haya maelezo yako yaweke juu kabisa kwenye uzi wa mhusika ili watu wanaposoma wajue ufwatiliaji ulishafanywa. Pia muweke namba za kuchangia
Ahsante kwa ushauri mkuu, na nahisi fedha zote ziende kwa mhusika kuna namba zake hapo juu zipo mbili
 
Back
Top Bottom