@Maxence melo alikataa kufanya endosement kama inavyoonekana katika screenshot.
Taasisi niliyohitimu(ST.BENARD TEACHERS COLLEGE) mfumo wake wa malipo ni sawia na ule wa shule za sekondary (kwenda na payslip) ndiyo maana sijaweka account ya taasisi kwani nitakosa payslip kama udhibitisho wa malipo chuoni.
Naomba tusaidiane kwa kujitolea katika hili ili niweze kufikia lengo kwani hakuna mchango wowote toka kwa wanajamiiforum hadi sasa ingawaje nilitarajia kuungwa mkono zaidi na Jamiiforum lakini matarajio yamekuwa tofauti licha ya kuweka vidhibitisho vyote.
View attachment 1200843