Mrejesho: Naomba msaada wa ada

Mrejesho: Naomba msaada wa ada

Akaunt ya chuo ipo,je mtu akilipa moja kwa moja account ya chuo mimi nitawapa udhibitisho gani wa malipo hayo.

Hii ni kwa sababu utaratibu ni ule wa kupeleka payslip pekee.

Serikali nimehangaika nao kwa muda mrefu miezi zaidi ya nane mwisho wa siku wakaniandikia tu hicho kibali.

Nimepita kwa afisa elimu,idara ya afya,mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa,halmashauri na mbunge kote hakuna manufaa.

Haitoshi nimejaribu kwa mh.possi na mh. Mavinde hakuna ushirikiano pia.

Halmashauri walijaribu kuwasiliana na chuo kikagoma katakata ndipo wakanirudisha kwa mkuu wa wilaya,ofisi yake ikaniandikia hocho kibali na haikichangia hata shilingi.
Tuna watendaji wa serikali wasengee sana nekasirika sana, hii serikali ina watendaji wasenge na mbwa sana angalieni mumeondoa uhai wa huyu kijana

Hicho chuo kilicho kataa kutoa hicho cheti kisusiwe mbwa kabisa

Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App
 
Ama kweli hii ndio dunia ya sasa. Viongozi kweli kabisa wenye uwezo na WANAJUA kwamba wana UWEZO hawasaidii kwa kweli no kufuru iliyoje hii Mungu aliwapa kazi nzuri lakini wanajifanya haliwahusu LA vijana kama hawa.
Huwezi jua huyu kijana baadae angekwenda kuwa mtu mkubwa na wewe kipindi hiko ndio hivyo tena, ila tunasema dunia duara, Mungu ampumzishe kwa amani.
 
Tuna watendaji wa serikali wasengee sana nekasirika sana, hii serikali ina watendaji wasenge na mbwa sana angalieni mumeondoa uhai wa huyu kijana

Hicho chuo kilicho kataa kutoa hicho cheti kisusiwe mbwa kabisa

Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App
Raia wema walimsaidia na akapata cheti chake
Ila nadhani mamlaka husika kuhusiana na tatizo lake waliishia kumpinga danadana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ndugu anajikutaga mlokole sana sijui kwanin church niggers are so fake kuliko hata wana wanaoshinda bar wanakuaga real sana
Unachosema ni kweli hawa wanaojifanya kushika ibada ni washenzi sana
 
Hii dunia, wale wenye moyo wa msaada sijui ndiyo wamepinda socially,economically and financially kama Mimi!!!?
 
Umpe namba ya principal kweli Sio kishoka.Sielewi kwa Nini huweki public hiyo namba unaficha Nini? Mkuu wa chuo Ni official figure weka namba zake za kiofisi hapa hakuna Cha PM .
Wewe dada nakuapia utakufa kwa tabu Sana , nakumbuka yule member aliefia Muhimbili kwa kuomba msaada wa Tina ya TB ulikuwa unatoa kashfa zako Kama kawaida


Malipo ni hapa hapa duniani lazima utaguswa na muda utaongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka sijui nimekukosea nini mimi.

Nimeeleza vizuri kuhusu mfumo wa ulipaji ada nikiweka namba ya akaunti ukajitolea kulipa labda 10,000 je mimi nitawapa udhibitisho gani kwamba nimelipa na utaratibu wap ni kupeleka payslip.

Namba ya mkuu wa chuo,nisamehe siwezi kuiweka hapa nakutumia PM.
Daaah naumia Sana wewe YEHODAYA utakufa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najisikia Uchungu Sana kuchelewa kuona hii thread..
Hakuna faraja inayofikia kumsaidia binadamu mwenzako kuvuka kigingi anachopitia.
Mwenyeenzi Mungu Akulaze Pema Peponi..
JF tumekuwa sehemu ya depression ya marehemu Robin. Hembu tujifunze katika hili member wenzangu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu sio mtu wa kwanza kufa kwa kuzihakiwa , tangu mwaka Jana huyu ni wa tano kwa kumbukumbu zangu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maxence Mello na wewe unashindwa ku-indorse Tangazo lake ... Kama timu jifikirieni.
tapatalk_1582663716414.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom