Namba za ofisi ya mkuu wa chuo kufanya Siri kutuma PM no no no no .Namba ya ofisi ya principal Sio Siri na haiji kuwa Siri milele iweke publicAsante dadaangu.
Namba ya mkuu wa chuo nimemtumia PM
Na ww toka hapa.nitawakomesha wenye viburi vya uzimaKama umeweka majina yako halisi unashindwa nini weka hiyo namba?
Namba za ofisi ya mkuu wa chuo kufanya Siri kutuma PM no no no no .Namba ya ofisi ya principal Sio Siri na haiji kuwa Siri milele iweke public
Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawakaDawa yako naichemsha hapa
Una uhakika!?Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka
Dah kaka mbona namba ya mkuu wa chuo nimekutumia PM.Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka
Mkuu utaratibu huu unatikana katka vyuo vingi vikibwa na vyenye mchanganyiko wa kozi mbali mbali.Ukilipa kwenye akaunti statement ya benk huonyesha aliyelipiwaa ni Nani wewe Sio wa kwanza watu wanalipiwa na wafandhili was ndani na nje.Chuo mtu akikulipia kitaona kwenye benki statement ya benki.Hata kwenye simu waweza pata meseji .Hi kesi yako sioni ugumu.Mtu akikulipia aweke statement photo copy humu
Kuna kitu kiliniyokea Jmos iliyopita nikawa sina amani kabisa.. sema tu ndio nimebidi nikubali matokeoMkuu #Da'Vinci: umepatwa na nini huwa napenda threads zako
Sio vzr jamaa kweli muhitaji ,kwanini unamtendea hivo, umekuwa na tabia ya kuwanyanyasa wahitaji , Mungu hapend ,yatakuja kukuta ,utashindwa kuomba msaada humu jf .Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka
Achen maneno ya ajabu ajabu ,Io pesa bora ufanyie biashara icho cheti na hicho chuo ulichosoma kupata kazi ya maana ni majaliwa kwa tz ya sasa
Mi naonA io pesa fanyia mtaji kwenye harakati zako.
Kwanini mnaktisha mtu tamaa?? Mbona mnajikuta ndo malaika wagawa rizki.. sio poa hvyo. Kama hukujaaliwa wewe basi sio mwenzio. Unajua humu ndani kuna watu wangapi wangeweza kumpatia hyo kazi?Io pesa bora ufanyie biashara icho cheti na hicho chuo ulichosoma kupata kazi ya maana ni majaliwa kwa tz ya sasa
Mi naonA io pesa fanyia mtaji kwenye harakati zako.
Kwanini mnaktisha mtu tamaa?? Mbona mnajikuta ndo malaika wagawa rizki.. sio poa hvyo. Kama hukujaaliwa wewe basi sio mwenzio. Unajua humu ndani kuna watu wangapi wangeweza kumpatia hyo kazi?
Achen maneno ya ajabu ajabu ,