Mrejesho: Naomba msaada wa ada

Mrejesho: Naomba msaada wa ada

Ukiwa stand ya mabasi upande gani chuo kilipo nipe na hiyo namba ya mkuu wa chuo
Ukiwa stendi mpya ya mabasi misuna chuo unakiona ukiulizia unaoneshwa.

Bodaboda ni elfu mpja.

Namba ya principal nakutumia PM
 
Akaunt ya chuo ipo,je mtu akilipa moja kwa moja account ya chuo mimi nitawapa udhibitisho gani wa malipo hayo.

Hii ni kwa sababu utaratibu ni ule wa kupeleka payslip pekee.

Serikali nimehangaika nao kwa muda mrefu miezi zaidi ya nane mwisho wa siku wakaniandikia tu hicho kibali.

Nimepita kwa afisa elimu,idara ya afya,mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa,halmashauri na mbunge kote hakuna manufaa.

Haitoshi nimejaribu kwa mh.possi na mh. Mavinde hakuna ushirikiano pia.

Halmashauri walijaribu kuwasiliana na chuo kikagoma katakata ndipo wakanirudisha kwa mkuu wa wilaya,ofisi yake ikaniandikia hocho kibali na haikichangia hata shilingi.
Ok fanya kama nilivyokwambia hapo juu nitafika na kufuatilia kila kitu na nitarudisha majibu hapa na wanajamvi wataelewa tu watakusaidia, naimani watafanya sema wanahitaji udhibitisho wa uhakika ndugu , siku hizi utapeli ni mwingi sana so tukiridhika mbona utafurahia wema wa JF
 
Toa Sio Hadi uombwe watu wanatakiwa waongee naye.Mlio singida nendeni direct kwenye chuo ku confirm na ara ilipwe account ya chuo na slip iwekwe hapa ili chuo kisije pokea pesa mara mbili mbili na kujikausha.Mhusika asipewe hata Mia zilipwe direct chuoni
Nitashukuru sana endapo hili litafanikiwa.

Kuna member ameahidi kufuatilia jumatatu naamini atatimiza ahadi na ataleta mrejesho hapa.
 
Ok fanya kama nilivyokwambia hapo juu nitafika na kufuatilia kila kitu na nitarudisha majibu hapa na wanajamvi wataelewa tu watakusaidia, naimani watafanya sema wanahitaji udhibitisho wa uhakika ndugu , siku hizi utapeli ni mwingi sana so tukiridhika mbona utafurahia wema wa JF
Nafahamu,nakuPM namba ya principal
 
Akaunt ya chuo ipo,je mtu akilipa moja kwa moja account ya chuo mimi nitawapa udhibitisho gani wa malipo hayo.

Hii ni kwa sababu utaratibu ni ule wa kupeleka payslip pekee.

Serikali nimehangaika nao kwa muda mrefu miezi zaidi ya nane mwisho wa siku wakaniandikia tu hicho kibali.

Nimepita kwa afisa elimu,idara ya afya,mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa,halmashauri na mbunge kote hakuna manufaa.

Haitoshi nimejaribu kwa mh.possi na mh. Mavinde hakuna ushirikiano pia.

Halmashauri walijaribu kuwasiliana na chuo kikagoma katakata ndipo wakanirudisha kwa mkuu wa wilaya,ofisi yake ikaniandikia hocho kibali na haikichangia hata shilingi.
Ukilipa kwenye akaunti statement ya benk huonyesha aliyelipiwaa ni Nani wewe Sio wa kwanza watu wanalipiwa na wafandhili was ndani na nje.Chuo mtu akikulipia kitaona kwenye benki statement ya benki.Hata kwenye simu waweza pata meseji .Hi kesi yako sioni ugumu.Mtu akikulipia aweke statement photo copy humu
 
Akaunt ya chuo ipo,je mtu akilipa moja kwa moja account ya chuo mimi nitawapa udhibitisho gani wa malipo hayo.

Hii ni kwa sababu utaratibu ni ule wa kupeleka payslip pekee.

Serikali nimehangaika nao kwa muda mrefu miezi zaidi ya nane mwisho wa siku wakaniandikia tu hicho kibali.

Nimepita kwa afisa elimu,idara ya afya,mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa,halmashauri na mbunge kote hakuna manufaa.

Haitoshi nimejaribu kwa mh.possi na mh. Mavinde hakuna ushirikiano pia.

Halmashauri walijaribu kuwasiliana na chuo kikagoma katakata ndipo wakanirudisha kwa mkuu wa wilaya,ofisi yake ikaniandikia hocho kibali na haikichangia hata shilingi.
Icho kiasi ulichotaja na hao watu uliowafuata wote kweli kabisa wameshindwa kukuchangia,Jamani hawa viongozi wetu vipi
 
Huna
Toa Sio Hadi uombwe watu wanatakiwa waongee naye.Mlio singida nendeni direct kwenye chuo ku confirm na ara ilipwe account ya chuo na slip iwekwe hapa ili chuo kisije pokea pesa mara mbili mbili na kujikausha.Mhusika asipewe hata Mia zilipwe direct chuoni
Hata mia hapo.nimekufatilia muda mrefu ww ni mkosoaji na MTU wa ovyo sana.huyu kijana ni mhitaji kwa kweli kwanini unapenda kuona wengine wezi?shame on you yehodaya.
 
Nafahamu,nakuPM namba ya principal
Umpe namba ya principal kweli Sio kishoka.Sielewi kwa Nini huweki public hiyo namba unaficha Nini? Mkuu wa chuo Ni official figure weka namba zake za kiofisi hapa hakuna Cha PM .
 
Huna

Hata mia hapo.nimekufatilia muda mrefu ww ni mkosoaji na MTU wa ovyo sana.huyu kijana ni mhitaji kwa kweli kwanini unapenda kuona wengine wezi?shame on you yehodaya.
Anaficha akaunti anaficha namba ya ofisi ya mkuu wa chuo why? Eti namba ya mkuu wa chuo Siri utatumiwa PM .Namba za mkuu wa chuo za ofisi Sio Siri hata siku moja .Anayetaka kutapeliwa ruksa
 
Kuna mmoja kasema atafatilia na kutoa mrejesho humu ndani kuwa mvumilivu j3 akileta mrejesho.Na kwa maoni yangu si vizuri kuweka namba ya kiofisi hapa sababu italeta usumbufu pale kila mtu atakapotaka kumpigia
Umpe namba ya principal kweli Sio kishoka.Sielewi kwa Nini huweki public hiyo namba unaficha Nini? Mkuu wa chuo Ni official figure weka namba zake za kiofisi hapa hakuna Cha PM .
 
Icho kiasi ulichotaja na hao watu uliowafuata wote kweli kabisa wameshindwa kukuchangia,Jamani hawa viongozi wetu vipi
Ndio hawana ushirikiano kabisa pia wapo.

Esther mmasy

Azan zungu

Anthony mavinde(ofisi ya waziri mkuu upande wa walemavu)

Mh.possi(ofisi ya waziri mkuu anahusika na walemavu)

Mbunge mstaafu wa mtwara mjini

Serukamba

Mbunge wa iringa mjini

nimehangaika kila mahali kwakweli.
 
Huna

Hata mia hapo.nimekufatilia muda mrefu ww ni mkosoaji na MTU wa ovyo sana.huyu kijana ni mhitaji kwa kweli kwanini unapenda kuona wengine wezi?shame on you yehodaya.
Nashukuru kwa kulitambua hilo kaka.
 
Ok fanya kama nilivyokwambia hapo juu nitafika na kufuatilia kila kitu na nitarudisha majibu hapa na wanajamvi wataelewa tu watakusaidia, naimani watafanya sema wanahitaji udhibitisho wa uhakika ndugu , siku hizi utapeli ni mwingi sana so tukiridhika mbona utafurahia wema wa JF
Itakua poa sana mkuu
 
Umpe namba ya principal kweli Sio kishoka.Sielewi kwa Nini huweki public hiyo namba unaficha Nini? Mkuu wa chuo Ni official figure weka namba zake za kiofisi hapa hakuna Cha PM .
Mkuu hayo ni mawasiliano ya mtu binafsi endapp nawe unaihitaji naweza kukutumia PM.

pia nimemtumia PM aliyejitolea kwenda kufuatilia taarifa zangu chuoni.
 
Ndio hawana ushirikiano kabisa pia wapo.

Esther mmasy

Azan zungu

Anthony mavinde(ofisi ya waziri mkuu upande wa walemavu)

Mh.possi(ofisi ya waziri mkuu anahusika na walemavu)

Mbunge mstaafu wa mtwara mjini

Serukamba

Mbunge wa iringa mjini

nimehangaika kila mahali kwakweli.
Pole sana ndugu yangu,Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi huo ni mtihani tu utaisha kijana mwenzangu
 
Icho kiasi ulichotaja na hao watu uliowafuata wote kweli kabisa wameshindwa kukuchangia,Jamani hawa viongozi wetu vipi
Hata Mimi nimeshangaa sana aisee.
Yaani ofisi ya wilaya ikose akiba hata ya 1.2m kusaidia watu wenye matatizo Kama haya.
Kiukweli viongozi wengi hawajui wanachokifanya kwenye ofisi zao yaani wapo wapo tu ili mradi wanaenda kazini na kurudi.
 
Back
Top Bottom