Mrejesho: Naomba msaada wa ada

Mrejesho: Naomba msaada wa ada

Anaficha akaunti anaficha namba ya ofisi ya mkuu wa chuo why? Eti namba ya mkuu wa chuo Siri utatumiwa PM .Namba za mkuu wa chuo za ofisi Sio Siri hata siku moja .Anayetaka kutapeliwa ruksa
Kaka sijui nimekukosea nini mimi.

Nimeeleza vizuri kuhusu mfumo wa ulipaji ada nikiweka namba ya akaunti ukajitolea kulipa labda 10,000 je mimi nitawapa udhibitisho gani kwamba nimelipa na utaratibu wap ni kupeleka payslip.

Namba ya mkuu wa chuo,nisamehe siwezi kuiweka hapa nakutumia PM.
 
Kuna mmoja kasema atafatilia na kutoa mrejesho humu ndani kuwa mvumilivu j3 akileta mrejesho.Na kwa maoni yangu si vizuri kuweka namba ya kiofisi hapa sababu italeta usumbufu pale kila mtu atakapotaka kumpigia
Asante dadaangu.

Namba ya mkuu wa chuo nimemtumia PM
 
Anaficha akaunti anaficha namba ya ofisi ya mkuu wa chuo why? Eti namba ya mkuu wa chuo Siri utatumiwa PM .Namba za mkuu wa chuo za ofisi Sio Siri hata siku moja .Anayetaka kutapeliwa ruksa
Nimekuambia nimekufatilia long time ago,kuna mhitaji aliwahi kuja hapa uliongea shit sana.ila akajitolea member mmoja 150000 aende interview moshi.USIOMBE YAKUKUTE.kwani ukipita kimya kimya utawashwa?
 
Wakuu tayari kanitumia namba ya mkuu wa chuo na kwa bahati nzuri inavyoonekana mkuu wa chuo ni mnyaturu so ni kabila langu ambae nahisi tutaelewana kwa lugha nzuri kidogo, j3 nitafika mwenyewe chuoni kupata utaratibu na maelezo ya kina sana na nitawajuza kama ni kweli au laa nipo Singida hapa hivyo nitaifanya kazi hii kwa uaminifu mkubwa sana
 
Hata Mimi nimeshangaa sana aisee.
Yaani ofisi ya wilaya ikose akiba hata ya 1.2m kusaidia watu wenye matatizo Kama haya.
Kiukweli viongozi wengi hawajui wanachokifanya kwenye ofisi zao yaani wapo wapo tu ili mradi wanaenda kazini na kurudi.
Ni kweli ipp siku nitaandika kila kitu hapa juu ya hawa viongozi.

Unaweza kuamini kwamba nimejaribu kwa wabunge zaidi ya 15 bila mafanikio.

Ushirikiano hakuna,labda wanaona hakuna piblic atention.
 
Kaka sijui nimekukosea nini mimi.

Nimeeleza vizuri kuhusu mfumo wa ulipaji ada nikiweka namba ya akaunti ukajitolea kulipa labda 10,000 je mimi nitawapa udhibitisho gani kwamba nimelipa na utaratibu wap ni kupeleka payslip.

Namba ya mkuu wa chuo,nisamehe siwezi kuiweka hapa nakutumia PM.
Mdogo wangu usimuwazie huyo pimbi nitadeal naye officially. Sins msaada kwa sasa ila nitakutetea na kukuombea kwa allah
 
Wakuu tayari kanitumia namba ya mkuu wa chuo na kwa bahati nzuri inavyoonekana mkuu wa chuo ni mnyaturu so ni kabila langu ambae nahisi tutaelewana kwa lugha nzuri kidogo, j3 nitafika mwenyewe chuoni kupata utaratibu na maelezo ya kina sana na nitawajuza kama ni kweli au laa nipo Singida hapa hivyo nitaifanya kazi hii kwa uaminifu mkubwa sana
Ahsante sana kaka na nashukuru kwa kujitolea kwako kupoteza muda na rasirimali zako kufuatilia hili.

Ni kweli fr.Gilbert Mwiru ni mnyaturu.
 
Wakuu tayari kanitumia namba ya mkuu wa chuo na kwa bahati nzuri inavyoonekana mkuu wa chuo ni mnyaturu so ni kabila langu ambae nahisi tutaelewana kwa lugha nzuri kidogo, j3 nitafika mwenyewe chuoni kupata utaratibu na maelezo ya kina sana na nitawajuza kama ni kweli au laa nipo Singida hapa hivyo nitaifanya kazi hii kwa uaminifu mkubwa sana
Nakufatilia kwa umakini ukizingua huna pa kutokea.believe me or not
 
Ahsante sana kaka na nashukuru kwa kujitolea kwako kupoteza muda na rasirimali zako kufuatilia hili.

Ni kweli fr.Gilbert Mwiru ni mnyaturu.
Huyu kaangalia jina mpesa hana lolote.subiri matokeo kwani kaombwa ada yote?kashindwa hata 1000?
 
Back
Top Bottom