Mrejesho: Naomba msaada wa ada

Mrejesho: Naomba msaada wa ada

Na
Toa Sio Hadi uombwe watu wanatakiwa waongee naye.Mlio singida nendeni direct kwenye chuo ku confirm na ara ilipwe account ya chuo na slip iwekwe hapa ili chuo kisije pokea pesa mara mbili mbili na kujikausha.Mhusika asipewe hata Mia zilipwe direct chuoni
Na wewe ni mbabaishaji tu....ushasema kuwa uchangii hata mia,sasa hizo contact za principal we za nini? Acha wenye nia ya dhati waulizie sio wewe.
 
Mjapokuwa wajinga....
Hakika hii kazi haitapita bure.

Matthew25:31-40
Proverb 19:17
 
Nimekuambia nimekufatilia long time ago,kuna mhitaji aliwahi kuja hapa uliongea shit sana.ila akajitolea member mmoja 150000 aende interview moshi.USIOMBE YAKUKUTE.kwani ukipita kimya kimya utawashwa?
Yule jamaa wa interview hata mimi nilimtilia shaka
 
Nawashukuru sana wote,mbarikiwe.

Namba zangu ni :0677421378-Robin Miho,Tigo.

-0776741545-zantel,Miho
 
Siamini ninachokiona hapa ila natamani kujuwa imekuwaje hebu nipen basi hizi taarifa chanzo chake wakuu nani kaileta taarifa hii kuwa dogo hatunae
 
Siamini ninachokiona hapa ila natamani kujuwa imekuwaje hebu nipen basi hizi taarifa chanzo chake wakuu nani kaileta taarifa hii kuwa dogo hatunae
 
Back
Top Bottom