Ahsante Mkuu fuatilia, nasi tutakuunga mkono.Ok naomba unitumie majina yako yote ambayo ni halisi kwenye cheti maana nipo Singida now j3 nifuatilie niwaletee wanajamvi mrejesho
Ndio hawana ushirikiano kabisa pia wapo.
Esther mmasy
Azan zungu
Anthony mavinde(ofisi ya waziri mkuu upande wa walemavu)
Mh.possi(ofisi ya waziri mkuu anahusika na walemavu)
Mbunge mstaafu wa mtwara mjini
Serukamba
Mbunge wa iringa mjini
nimehangaika kila mahali kwakweli.


,Dah nyota ndogo aliimba "kuna watu na viatu"Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka
Mkuu umefariki au Ni nduguyo anatumia akaunti?Habari,bodi ya mikopo hutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
Dah nyota ndogo aliimba "kuna watu na viatu"
Halafu huyu mmama ni mlokole pure anasali kwa MwamposaHuyu jamaa alimziaki sana yule mwenye tb atimaye akafariki kamziaki tena mpauko naye kajiuwa huyu nitatizo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwizi huyooooo mwizii jamii forums mwizi kaingia jamii forums.Members kaeni mbali na Mleta mada mtalia kilio Cha mbwa Koko.Mtatapeliwa mchana kweupe jua linawaka
Huyu jamaa,!!!! MUNGU MUWEKE MAHALI PEMA PEPONI.Asante sana kaka,sina cha kukulipa,kwa muda wako,rasilimali zako na kujitolea kwako,Mungu akubariki.
Mkurugenzi melo nadhani ni mtu mmoja bussy sana,ningeshauri wewe mwenyewe ndiye ukusanye chochote kitakachopatikana na ulipe na kunipatia payslip endapo bado upo huko Singida.
Mbali na yote,narudia tena Mungu awabariki kwa Moyo wa ukarimu na kujitoa kwa mtu baki,ingawaje bado kila mtu ana matatizo yake pia.
Angesaidiwa fasta,Labda angekua demu mwenye mswambwanda.Inasikitisha sana.Ama kweli hii ndio dunia ya sasa. Viongozi kweli kabisa wenye uwezo na WANAJUA kwamba wana UWEZO hawasaidii kwa kweli no kufuru iliyoje hii Mungu aliwapa kazi nzuri lakini wanajifanya haliwahusu LA vijana kama hawa.
Huwezi jua huyu kijana baadae angekwenda kuwa mtu mkubwa na wewe kipindi hiko ndio hivyo tena, ila tunasema dunia duara, Mungu ampumzishe kwa amani.
Sahihi mkuu pale angekwenda demu fasta tu washenzi sana waleAngesaidiwa fasta,Labda angekua demu mwenye mswambwanda.Inasikitisha sana.
Inas
sijui kwa nini kama mtu huna cha kuchangia kunyamaza kunakushinda nini
Kwa kweli