Mrejesho: Mwenye number ya Recho msani wa Kibongo

Mrejesho: Mwenye number ya Recho msani wa Kibongo

CHIEF JJ

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,075
Reaction score
358
Habari ya leo wana Jf,

Kuna kipindi kimepita kidogo niliomba namba ya Recho msani maana nampenda sana na nilijaribu kila njia nikawa nimekwama ila nashukuru humu ndani kuna watu walinipatia namba.

Ila haka kadada ni kagumu kweli yani tumezinguwana nako mpaka nimechoka yani msumbufu msumbufu nimemwaga sera zangu akawa ananiuliza namliki gari la aina gani?

Na nyumba ya aina gani? Na kipato changu kwa mwezi ni million ngapi? Na naweza kumnunulia gari lisilo punguwa million 80 na kuendelea?

Pia hata kama atakuwa na mimi ila nisimbane atakacho jisikia kufanya afanye tuu na lingine hayuko tayari kuolewa na mimi sasa mie yote hayo siyawezi kipato changu cha mwezi hata million mbili sijawahi kufikisha hapo ni plus na mshahara.

Nimejaribu kumdanganya ila mgumu kweli pia mjanja kweli miemini amenishinda kabisa na nimeachanaa naye pia nilikua naomba namba ya Linna msani anipe naye nimtongoze

Naombeni sana mwenye namba ya Linna anisaidie
 
habari ya leo wana jf

Kuna kipindi kimepita kidogo niliomba namba ya recho msani maana nampenda sana na nilijaribu kila njia nikawa nimekwama ila nashukuru humu ndani kuna watu walinipatia namba......Ila haka kadada ni kagumu kweli yani tumezinguwana nako mpaka nimechoka yani msumbufu msumbufu nimemwaga sera zangu akawa ananiuliza namliki gari la aina gani? na nyumba ya aina gani? na kipato changu kwa mwezi ni million ngapi? na naweza kumnunulia gari lisilo punguwa million 80 na kuendelea? pia hata kama atakuwa na mimi ila nisimbane atakacho jisikia kufanya afanye tuu na lingine hayuko tayari kuolewa na mimi...sasa mie yote hayo siyawezi kipato changu cha mwezi hata million mbili sijawahi kufikisha hapo ni plus na mshahara...Nimejaribu.kumdanganya ila mgumu kweli pia mjanja kweli MIE AMENISHINDA KABISA na nimeachanaa naye pia NILIKUWA NAOMBA MWENYE NUMBER YA LINNA msani anipe naye nimtongozee naombeni sana mwenye namba ya linna anisaidie..

Wewe kama Recho umemshindwa basi Linah hutomuweza. Mi ushauri wangu ni kua Nyapu (Papuchi) au "K" ni zilezile tu. Tena inawezekana K za masupastaa zikawa mbaya kuliko za ma-underground. Why usitafute K moja ya uzwazi ukaimiliki kuliko kujipa presha?

Tena ukipata zile zilizochezwa unyago utafaidi sana viuno aisee
 
Jaribu kwa Wema ni fasta unakula machine dogo!
 
Aisee...kwanini anataka akuuzie ghali hivyo....???
 
wema sitaki kabisa hata bure siwezi kula

Mademu wengi maarufu wa Bongo kuwadi wao ni yule dogo andunje anaitwa steve nyerere, mpe bia mbili yule atakuunganishia mpaka unamega Dogo!
 
Ungemtumia rafiki yake anayeitwa Hellen ungempata Recho kirahisi sana. Huyo ndiyo kama mshauri wake, akisime hufai, hata umiliki kampuni ya Samsung huwezi kumpata.
 
habari ya leo wana jf

Kuna kipindi kimepita kidogo niliomba namba ya recho msani maana nampenda sana na nilijaribu kila njia nikawa nimekwama ila nashukuru humu ndani kuna watu walinipatia namba......Ila haka kadada ni kagumu kweli yani tumezinguwana nako mpaka nimechoka yani msumbufu msumbufu nimemwaga sera zangu akawa ananiuliza namliki gari la aina gani? na nyumba ya aina gani? na kipato changu kwa mwezi ni million ngapi? na naweza kumnunulia gari lisilo punguwa million 80 na kuendelea? pia hata kama atakuwa na mimi ila nisimbane atakacho jisikia kufanya afanye tuu na lingine hayuko tayari kuolewa na mimi...sasa mie yote hayo siyawezi kipato changu cha mwezi hata million mbili sijawahi kufikisha hapo ni plus na mshahara...Nimejaribu.kumdanganya ila mgumu kweli pia mjanja kweli MIE AMENISHINDA KABISA na nimeachanaa naye pia NILIKUWA NAOMBA MWENYE NUMBER YA LINNA msani anipe naye nimtongozee naombeni sana mwenye namba ya linna anisaidie..

Namba tayari anayo MKUDE SIMBA..
 
Nitumie hiyo ya Rachel mi nikutumie ya Lina.

Ila nikuahidi tu Lina hata kupokea simu yako ushukuru.
 
Ungemtumia rafiki yake anayeitwa Hellen ungempata Recho kirahisi sana. Huyo ndiyo kama mshauri wake, akisime hufai, hata umiliki kampuni ya Samsung huwezi kumpata.

mbona yeye ndiyo nilianza kumtongoza kwanza na sikujuwa kuwa i rafiki yake
 
Back
Top Bottom