Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,390
Hongera Mamy
Hizi ndoa hizi jamani basi tu
Usipoolewa /kuoa taabu
Ukiolewa/kuoa nako taabu
Sijui kipi ni kipi
Hujui kweli?!
Hongera Mamy
Hizi ndoa hizi jamani basi tu
Usipoolewa /kuoa taabu
Ukiolewa/kuoa nako taabu
Sijui kipi ni kipi
Je mumeo alikuwa analalamika nini juu yako?Hilo ndilo tunataka kujua,maana kwa Maelezo yako mtu akikusoma vzr hata wewe una matatizo.Mimi sijamlamu jaji, tatizo kubwa lilikuwa kwenye ushahidi si unajua hizi kesi zilivyo. Lakini hata mchango wangu haukuonekana hata kidogo kama mwanamke, hili nalo linashangaza. Huyu mwanaume ana matatizo ingekuwa inawezekana ningekupa details za huyu jamaa halafu ukafuatilia mtaani utashangaa. Hakuna hata ndugu yake upande wa baba yake anaongea naye. Mtu alidiriki kumuambia baba yake kama atachoma nyumba yake moto kama ataendelea kunitetea, Mpaka leo ninavyoandika wazazi wake hawaongei naye, sembuse mimi.
NdioHujui kweli?!
Dhuluma haidumu, Mungu atakuona na utapata vingi kuliko hivyo alivyodhulumu.. gari kitu gani bwana unatoka barabarani tu paaap limebamizwa.. shukuru Mungu una uhai na unaonekana ni mchapa kazi utafanikiwa tu..
Kwahiyo yule jamaa hajatoa ahafi ya ndoa?!Ndio
Umenipa huyo jamaaKwahiyo yule jamaa hajatoa ahafi ya ndoa?!
Be careful mwaya asije akawa mchunaji km huyi aliyeondoka!Yupo jamaa ila hatujaanza uhusiano rasmi, nilitaka kumalizana na kesi kwanza kwani hukumu imetoka mwisho wa mwezi uliopita
Je mumeo alikuwa analalamika nini juu yako?Hilo ndilo tunataka kujua,maana kwa Maelezo yako mtu akikusoma vzr hata wewe una matatizo.
Hilo nalizingatia sanaBe careful mwaya asije akawa mchunaji km huyi aliyeondoka!
Usiwe muwazi sana kuhusu mali na kipato kama hujamjua vzr!!
Kwahiyo yule jamaa hajatoa ahafi ya ndoa?!
Hajatoa, hata mahari alisema nimrudishie nikairudisha
Niliwahi kukutana na balaa km hilo! Yani yule muuwaji yule angenioa ningeshakufa! Ila sasa kuna wimbo was kikristo unaimbwa MUNGU UNIOKOE MIDOMONI MWA MWAMBA!! Kuna mamba watu.Hilo nalizingatia sana
Umenipa huyo jamaa
Huna?!...yule nlikuona nae kwa mromboo
[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chizi kweli ww,nmecheka kwa sauti,macho yako mabovu mbona sikuwa na mtu nlkuwa pekee yanguHuna?!...yule nlikuona nae kwa mromboo
[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chizi kweli ww,nmecheka kwa sauti,macho yako mabovu mbona sikuwa na mtu nlkuwa pekee yangu
Asante, mshukuru Mungu kakuepushaNiliwahi kukutana na balaa km hilo! Yani yule muuwaji yule angenioa ningeshakufa! Ila sasa kuna wimbo was kikristo unaimbwa MUNGU UNIOKOE MIDOMONI MWA MWAMBA!! Kuna mamba watu.
Be strong usijali jamii na baadhi ya comments humu.
Nenda mbele, kugeuka nyuma no kugeuka jiwe.
Nimesikitika mno
Zitume nioneNimekupiga mpk picha ujue