Mrejesho kuhusu Bima ya mtoto wa mtumishi kutibiwa Taasisi Moyo Jakaya

Kategele

JF-Expert Member
Oct 7, 2017
968
2,230
Habari wana JF
Baada ya kupata rufaa ya JAKAYA kutoka Bugando nilifika Jakaya na kuendelea na vipimo pamoja na matibabu.

Vipimo vimeonesha anatakiwa kufanyiwa operation na Bima inacover gharama zote, changamoto umeonekana kuwa tatizo limechelewa kugundulika hivyo kwa operation hii ingefanywa akiwa na miezi mitatu uwezekano wa kurecover ungekuwa 90%. Kwa sasa ana miezi kumi hivyo wakimfanyia operation uwezekano wa kusurvive ni10% tu.

Kwa vile tumechelewa tumeshauriwa kupewa rufaa ya kwenda INDIA kwa uchunguzi zaidi.

Gharama za matibabu nimeambiwa si chini ya US solar 15,000.
Hivyo nimekuja mbele yenu anayefaham NGO inayosaidia watoto wenye shida ya moyo wanaotakiwa kupelekwa nje ya nchi anijuze au anipe ushauri kwa wale mliowahi kwenda India maana Bima hii nimeambiwa haihusiki na matibabu nje ya Nchi.

Karibuni
 
Aisee pole sana mkuu. Ngoja waje wanaofahamu mashirika ya misaada.
 
Habari wana JF
Baada ya kupata rufaa ya JAKAYA kutoka Bugando nilifika Jakaya na kuendelea na vipimo pamoja na matibabu.

Vipimo vimeonesha anatakiwa kufanyiwa operation na Bima inacover gharama zote, changamoto umeonekana kuwa tatizo limechelewa kugundulika hivyo kwa operation hii ingefanywa akiwa na miezi mitatu uwezekano wa kurecover ungekuwa 90%. Kwa sasa ana miezi kumi hivyo wakimfanyia operation uwezekano wa kusurvive ni10% tu.

Kwa vile tumechelewa tumeshauriwa kupewa rufaa ya kwenda INDIA kwa uchunguzi zaidi.

Gharama za matibabu nimeambiwa si chini ya US solar 15,000.
Hivyo nimekuja mbele yenu anayefaham NGO inayosaidia watoto wenye shida ya moyo wanaotakiwa kupelekwa nje ya nchi anijuze au anipe ushauri kwa wale mliowahi kwenda India maana Bima hii nimeambiwa haihusiki na matibabu nje ya Nchi.

Karibuni
Pole sana mkuu.Mungu akusaidie kuku-conect na watoa misaada ya Matibabu haraka
 
Nenda jubilee wana bima ya kutibiwa hadi india
Nadhani elimu ya Bima kwa watanzania bado sana ... Bina inatakiwa ikatwe wakati ukiwa mzima .. hakuna kampuni inayomchukua mgonjwa na kumpa bima .. itafilisika
 
Habari wana JF
Baada ya kupata rufaa ya JAKAYA kutoka Bugando nilifika Jakaya na kuendelea na vipimo pamoja na matibabu.

Vipimo vimeonesha anatakiwa kufanyiwa operation na Bima inacover gharama zote, changamoto umeonekana kuwa tatizo limechelewa kugundulika hivyo kwa operation hii ingefanywa akiwa na miezi mitatu uwezekano wa kurecover ungekuwa 90%. Kwa sasa ana miezi kumi hivyo wakimfanyia operation uwezekano wa kusurvive ni10% tu.

Kwa vile tumechelewa tumeshauriwa kupewa rufaa ya kwenda INDIA kwa uchunguzi zaidi.

Gharama za matibabu nimeambiwa si chini ya US solar 15,000.
Hivyo nimekuja mbele yenu anayefaham NGO inayosaidia watoto wenye shida ya moyo wanaotakiwa kupelekwa nje ya nchi anijuze au anipe ushauri kwa wale mliowahi kwenda India maana Bima hii nimeambiwa haihusiki na matibabu nje ya Nchi.

Karibuni
Yupo rafiki yangu alipata changamoto kama hiyo, gharama zilikuwa kubwa ni kama USD 45,000. Alienda wizara ya afya akapata govt Sponsorship kwa matibabu na airticket kwa Baba mama na mtoto. Yy alijichanga kugharamia visa na living expenses wakiwa kule.

Nilushauri nenda wizara ya afya unaeza pqta assistance.
 
Pole sana mwanaume mwenzangu., kuna mwamba naye mwanaye alitakiwa afanyiwe operation ya ubongo na pesa hakuna nayo hivyo akajalibu kuuza nyumba yake ili apate hiyo 10m ,chakusikitisha hata nyumba pia imekosa mteja yaani.


Daah!,haya maisha haya we acha tu!!
 
Back
Top Bottom