Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,915
Hi guys..
Hope mko poa na Mambo yenu yanaenda vizuri, Kwa ambao mko na changamoto Allah awafanyie wepesi insha'Allah kila kitu kitakua sawa
Nimeleta Mrejesho wa Thread
'Ila kuna namna Wanaume mnapenda sana matatizo' Ila kuna namna Wanaume mnapenda sana matatizo
Juzi watu wamesherehekea Send off,. Kesho wanaenda kuoana,. Binti mchepuko nae yuko upande WA marafiki WA bwana harusi na sare ameshona.. Yuko busy na shughuli kama hakuna anachokifaham.
Sema huyu mwali ni mkavu jamani looh!.
Nilichojifunza kwenye haya maisha aisee mambo ya watu yanaweza kukuumiza kichwa bure ukiyafatilia sana
Hope mko poa na Mambo yenu yanaenda vizuri, Kwa ambao mko na changamoto Allah awafanyie wepesi insha'Allah kila kitu kitakua sawa
Nimeleta Mrejesho wa Thread
'Ila kuna namna Wanaume mnapenda sana matatizo' Ila kuna namna Wanaume mnapenda sana matatizo
Juzi watu wamesherehekea Send off,. Kesho wanaenda kuoana,. Binti mchepuko nae yuko upande WA marafiki WA bwana harusi na sare ameshona.. Yuko busy na shughuli kama hakuna anachokifaham.
Sema huyu mwali ni mkavu jamani looh!.
Nilichojifunza kwenye haya maisha aisee mambo ya watu yanaweza kukuumiza kichwa bure ukiyafatilia sana