sijaelewa vile wanavyokuwa wanajenga katikati nondo ndeeefu, ivi ndo wananyanyua barabara, wanatengeneza flyover au wanataka kuijengaje jamani hii barabara?
hizo lugha ni kwa ajili ya kukudivert kutoka kwenye hoja ya msingi ambayo ni mategemeo makubwa wananchi waliyo nayo.Wasipoweka ukuta mkubwa kuikinga hiyo njia ya hayo mabasi na daladala zitatanua humo humo.
Halafu wenyewe wanasema sio mabasi yaendayo kasi ni mradi wa mabasi yaendayo haraka kwakuwa yanaenda spidi ya kawaida tu sema yanapita kwenye njia yake bila bugudha. Hii ikianza nauza mkweche wangu.
hizo lugha ni kwa ajili ya kukudivert kutoka kwenye hoja ya msingi ambayo ni mategemeo makubwa wananchi waliyo nayo.
Nikiangalia hiyo ramani ya yanapopita naona wazi kuwa haifanyi covarage hata ya 30% ya matatizo ya usafiri na foleni. Laiti ungechukua picha ya Master Plan ya jiji la Dar es Salaam na wakaboresha (sio kwa viwango vya kimataifa) njia za kuunganisa 'neighborings' ingeweza kuondoa foleni kwa zaidi zaidi 70%
hawajamaliza hata kituo kimoja? ni uzembe ama hakuna pesa