Juhudi za kuondoa tatizo la umeme zinaonekana kuwa ngumu kila kukicha, mvua nyingi zinazoendelea kunyesha nchi nzima zimeshindwa kupunguza mgao wa umeme, Mradi wa gesi Mtwara hadi Dar es Salaam ulitoa matumaini ya kumaliza tatizo la umeme nchi surprisingly tatizo linaendelea, mradi uliogharimu taifa ma billioni ya dola, huwa najiuliza hizi pesa za huu mradi zingetumika kujenga na kuzalisha umeme huko huko mtwara then ukaingia kwenye grid ya taifa manufaa yangekuwa makubwa kiasi gani?
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.