inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,771
- 22,575
Kumbe wewe unapenda porojo na mizaha. Yaani hujui kuwa kuna mgao mkali sana wa umeme?
hakuna mgao,kuna tatizo la miundombinu ya kusambazia umeme,tunazalisha megawtt 1500 matumiz yetu megawatt 950