Mradi wa Gesi Mtwara-Dar ni "White Elephant"?

Mradi wa Gesi Mtwara-Dar ni "White Elephant"?

Hili ni tatizo la wamakonde kutoelewa uchumi wa gesi. Huwezi kuzalisha umeme Mtwara halafu uusambaze nchi nzima. Kinachofanyika ni kulaza mabomba ya gesi nchi nzima ili kila sehemu palipo na bomba pawe na mitambo kama ya kinyerezi. Kifupi... kila kanda au mkoa unatakiwa uwe na kinyerezi yake.
Ndivyo wanavyofanya Europe..wananunua gesi Urusi .... gesi inasambazwa ulaya nzima kwenye viwanda,majumbani na kwenye mitambo ya umeme inayotumia gesi..
 
Kuna kipindi nilisikia watu WA mtwara wakiniambia gesi haitoki nikawacheka na kuwabeza lakini sasa naanza kupata wasiwasi
 
Tulieni hadi ule wa Wahabeshi ufike ndo mgao uwe historia, ile gase watanzania tusahau kabisaaaaaaa ni ndoto tuliwaambia wajina washapewa yote na yuleeeeeeeeeeeee mtalii wa dunia
 
Punguza mahaba kwa wanaume wenzako mtoto wa kiume .
Nani kakwambia serikali ya magufuli ndiyo iliidhinisha na kusimamia huo mradi wa gesi? Mradi ukisainiwa na ngeleja na rais alikua kikwete na pm pinda. ww ungesubiri hadi kamati za bunge ziundwe na kuchambua huu mradi ili sisi wananchi tupate majibu na walafi wafike kwa magufuli akishindwa hapo una haki ya kutoa hizi dhihaka zako

Fanya hivi, ukipata nafasi ingiza kidole kwenye njia yako ya haja kubwa kisha nusa halafu niimbie kinanukiaje. Ungeweza kuchambua kwa hoja sio kujifanya mtoto wa mjini wakati mjini umekuja ukubwani, mshamba mkubwa. Kwani ungenikosoa kwa hoja ungepungukiwa na nini? Wewe hao unaowatetea mbona una tundu zuri la topo hapo nyuma unaweza kuwapa wakakuona unawapenda.
 
Eeh kwa kweli kua uyaone yan mtu macho yanamtoka kutetea umeme ambao watu tumeaminishwa na muda mrefu kuwa ungekuwa ni historia, walianza na wiki wakasema wanakamilisha kufunga mitambo tutumie gesi, na isingechukua wiki tatu, tatizo lingeisha,wapi, wakaja ooh kuna hitilafu, yan upumbavu mtupu sijui tulikoseaga wap maskin ya Mungu sie, watu kama ni kura wanapiga mambo ni yale yale watu wale wale, wapuuzi wengine humu wanakuja kutetea ujinga.
Mkuu asante kwa kuweka record straight. .kikwete wakati anaingia madarakani nakumbuka alisema tatizo la umeme litakuwa historia, gesi imefika dar wakasema sasa tatizo limeisha. .Kuna tatizo sana kwenye Nishati pale, tanesco ifumuliwe
 
Nadhani kiwango chako cha Elimu ni kidogo sana
Gesi na umeme ni vitu viwili tofauti, kuleta Dar gesi ni lazima ujenge tena mitambo ya kuzalisha umeme.
mradi wa Kinyerezi una phases nne , sasa wamekamilisha phase one , wakija kumaliza nyingine tatu , upungufu wa umeme itakuwa historia

Naungana na ww mkuu hapo nilipobold ajili ya kuzalisha umeme peke yake kuna viwanda vinavyohitaji hyo gesi......huyu jamaa anahitaji kuelimishwa
 
Ule mradi watu waliutumia kupiga dili wakapata hela ya mtaji kuanzisha kampuni mpya ya simu nyuma ya mgongo wa nchi zilizotembelewa na msanii. CCM ni ile ile, hakuna mtu saizi anaongelea Magufuli kupewa uenyekiti wa chama ili waweze kumdhibiti alinde mali walizoiba. Tunaisoma namba kupitia mgao wa umeme
 
Ule mradi watu waliutumia kupiga dili wakapata hela ya mtaji kuanzisha kampuni mpya ya simu nyuma ya mgongo wa nchi zilizotembelewa na msanii. CCM ni ile ile, hakuna mtu saizi anaongelea Magufuli kupewa uenyekiti wa chama ili waweze kumdhibiti alinde mali walizoiba. Tunaisoma namba kupitia mgao wa umeme

hii kweli mkuu? Dah cz kama ni kweli basi nchi hii hamna uzalendo
 
Ni vema kufahamu taratibu za uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme ili kupata majibu ya maswali uliyouliza.

Uzalishaji

Umeme una njia mbalimbali za kuzalishwa.

Njia ya kwanza ni kuzalisha umeme kwa kutumia maji ya maporomoko (hydro)- kama kule Kidatu, Hale, Nyumba ya Mungu. Hii ni njia nafuu kuliko njia zote za kuzalisha umeme

Njia ya pili ni kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta- hii ni njia ghali kutokana na bei za mafuta kuwa juu

Njia ya Tatu ni kuzalisha umeme kwa kutumia Makaa ya Mawe- hii ni njia nafuu pia lakini ina athari kwa mazingira

Njia ya nne ni kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia- hii ni njia nafuu na haina athari kwa mazingira

Njia ya tano/sita ni kuzalisha umeme kwa kutumia upepo, jua, joto ardhi (geothermal)

Narejea kusisitiza kati ya njia zooote hizo, njia ambayo inazalisha umeme kwa bei ya chiiini kabisa ni MAJI. Faida za umeme wa maji ni umeme unaozalishwa unakuwa wa bei nafuu sana. Changamoto za kutegemea maji kuzalisha umeme ni inapotokea ukame, basi uzalishaji unaporomoka. Changamoto nyingine ni kwamba uwekezaji kwenye kujenga mitambo ya kuzalisha umeme ni mkubwa. Umeme ambao Waziri wa Nishati amesema Tanzania itaununua kutoka Ethiopia kwa bei nafuu ni umeme unaozalishwa kwa MAJI. Gharama halisi ya umeme wa maji ni Cent za Kimarekani 4 kwa unit, gharama za kuusafirisha cent za kimarekani 2 unit, faida ya kuuza ni cent 1.4 kwa unit....ndio maana jumla ya gharama ya kununua umeme huo wa Ethiopia ni Cent 7.4 kwa unit. Bei hiyo ya kununua umeme wa Ethiopia ipo chini kabisa kushinda hata bei ya umeme unaozalishwa hapa nchini kwa kutumia mafuta ambao unauzwa kwa kati ya cent za kimarekani 40-60 kwa unit, au umeme unaozalishwa kwa kutumia gesi asilia unaogharimu cent za kimarekani kati ya 8-12 kwa unit.

Manelezu, umeuliza swali zuri-----bomba la gesi ni white elephant? Jibu ni hapana. Bomba lile linatumika kusafirishia gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam ambapo gesi hiyo ikishafika Dar inatumika kuzalisha umeme pale Kinyerezi. Kwa sasa tanesco imeshajenga kinu kimoja cha kuzalisha umeme wa MW 150 pale Kinyerezi ambacho kilizunduliwa mwezi Oktoba angalia Tanzania inaugurates Kinyerezi I gas power plant | ESI-Africa.com

Mradi wa pili wa Kinyerezi utaanza kujengwa muda si mrefu na kampuni ya Somitomo ya Japan Construction at the Kinyerezi III power plant

Awamu ya tatu na ya nne ya Kinyerezi itajengwa pia mwakani na makampuni kutoka China.


Miradi yote hii itakapokamilika, ndipo gesi inayosafirishwa kutoka Mtwara kuja Dar es Salaam itatumika zaidi kuzalisha umeme wa kutosha utakaoingizwa kwenye gridi ya taifa


Lakini ni vizuri kutambua.....kuzalisha umeme pale kinyerezi peke yake haitoshi........umeme ukishazalishwa ni lazima uingizwe kwenye gridi ya taifa na kusafirishwa kwenda sehemu mbalimbali. Kwa msingi huo, TANESCO ina miradi ya usafirishaji wa umeme katika sehemu mbalimbali nchini....moja ya miradi mipya ya usambazaji ni ule unaotoka Dar-es-Salaam- chalinze- Same-Tanga- Moshi- Arusha........(North East Transmission Line)........ umeme utakaozalishwa Kinyerezi utasafirishwa katika njia hiyo na kuteremeshwa maeneo yote hayo niliyotaja. Vilevile, upo mradi wa North West Transmission Line unaokwenda hadi Kigoma


Sasa umeme huo ukishasafirishwa kwenda sehemu mbalimbali, hatua ya mwisho ni distribution kwa watumiaji ambao ni wananchi, maofisi, viwanda nk

KWahiyo ndugu yangu vuta subira....miradi yote hii itakapokamilika ndani ya miezi 24 matatizo ya umeme yatakuwa ni historia

Mkuu nashukuru Kwa maelezo yako mazuri sana, nina kaswli tu kadogo ka nyongeza, umetaja kinyerezi I Hadi III, zikikamilika zote tutapa kiasi gani cha umeme? ukilinganisha na mahitaji ya sasa?, hivi ni kambomba hakohako katakidhi hiyo kinyerezi Impaka III au watajenga kengine?

Nataka tujaribu kuangalia value of money na kaumeme tutakopata.

Natanguliza shukurani zangu kwa majibu mazuri mkuu
 
Fanya hivi, ukipata nafasi ingiza kidole kwenye njia yako ya haja kubwa kisha nusa halafu niimbie kinanukiaje. Ungeweza kuchambua kwa hoja sio kujifanya mtoto wa mjini wakati mjini umekuja ukubwani, mshamba mkubwa. Kwani ungenikosoa kwa hoja ungepungukiwa na nini? Wewe hao unaowatetea mbona una tundu zuri la topo hapo nyuma unaweza kuwapa wakakuona unawapenda.
Ahsante tundu, Mungu akujalie zaidi matusi ya namna hiyo na akuongezee kipaji chako kwa hayo unayoyashabikia na.kutamkia wengine na vizazi vyako vyote vya kiume na kike vije kurithi kipaji hicho.
 
Ahsante tundu, Mungu akujalie zaidi matusi ya namna hiyo na akuongezee kipaji chako kwa hayo unayoyashabikia na.kutamkia wengine na vizazi vyako vyote vya kiume na kike vije kurithi kipaji hicho.

Shika adabu yako, uliponiambia mtoto wa kiume kushabikia wanaume wenzio ulidhani mimi zoba? Hili ni jukwaa huru kila mtu ananamna ya kuwakilisha maoni yake. Kama huridhiki na namna ninavyowakilisha maoni yangu, ungeweza kutumia njia ya kistaarabu bila kunitusi. Sasa umejichanganya na ndio umeipata fresh kwa kukuchomekea disc mbovu.
 
Juhudi za kuondoa tatizo la umeme zinaonekana kuwa ngumu kila kukicha, mvua nyingi zinazoendelea kunyesha nchi nzima zimeshindwa kupunguza mgao wa umeme, Mradi wa gesi Mtwara hadi Dar es Salaam ulitoa matumaini ya kumaliza tatizo la umeme nchi surprisingly tatizo linaendelea, mradi uliogharimu taifa ma billioni ya dola, huwa najiuliza hizi pesa za huu mradi zingetumika kujenga na kuzalisha umeme huko huko mtwara then ukaingia kwenye grid ya taifa manufaa yangekuwa makubwa kiasi gani?

Naomba kuwasilisha.

Uliona mapema.
 
Back
Top Bottom