hujauliza hali mbaya kivipi, ngoja nikusaidi, jamaa hali yake kipesa ni mbaya sana, hapo kwenye picha ni baada ya kupiga kinywaji cha kutosha na kushindwa kulipa kisha kunyanganywa vifaa vyake vya mawasiliano ( simu), hata jumba la kifahari alokuwa akikaa amefukuzwa kwa kushindwa lipa kodi kwa sasa anakaa kwenye nyumba ya chumba kimoja huko Athi river machakos kwenye estate za Sunset BoulevardSema kingine.Hiyo sio sura wala mwonekano wa mtu aliye kwenye hali mbaya! Kanawiri tu mbona?
Watampokea kweli?Genda Heka linamwambia aombe kujiunga DABILIYU SI BII
ngoja niongee na hamonaiziWatampokea kweli?
Yaani amekunywa ALL NIGHT bill ikaishia kuwa Ksh. 1,700 (sawa na Tsh. 34,000) tu? Huyo alikuwa anakunywa kwa kubeep...au chupa za huko ni cheap kiaina?Last week alienda hapa... Kuna pub huitwa Savannah Delta.... Alienda hapo kukunywa. Kumbe jamaa hana hata pesa... Jamaa akakunywa machupa all night. Bill ikafika 1,700 Ksh. Jamaa anashindwa kulipa,ilibidi ma waiter wachukue phone yake... Hata saa hii sijui kama amerudishiwa phone
Mbona kanaWiri huko nyuma hakuwa hivi
HATA MM SIJAONA TATIZO HAPO ZAID IYA MAPERE YA NDEVUSema kingine.Hiyo sio sura wala mwonekano wa mtu aliye kwenye hali mbaya! Kanawiri tu mbona?
HAHAHAKAAMUA KUISHI HIVYO MWACHENIYaani amekunywa ALL NIGHT bill ikaishia kuwa Ksh. 1,700 (sawa na Tsh. 34,000) tu? Huyo alikuwa anakunywa kwa kubeep...au chupa za huko ni cheap kiaina?
Mtoa mada jamaa kajipumzisha beach unamzushia aisee angalia sana hii mamb