Mponda na Nkya hadi jumatano kushiney......!

Bambanza jr.

JF-Expert Member
Aug 6, 2011
355
36
Katika kikao cha madaktari ambacho kinaendelea katika ukumbi wa water front wametoa rasmi tamko la kuendelea na mgomo ifikapo j'5 saa2 asbh kama baadhi ya maazimio yao hayatakuwa yametekelezwa na serikali, suala la kuondolewa kwa waziri wa afya na naibu wake ndo lililopewa nafasi kwan madaktari wanadai hao ndo kikwazo kikubwa, hivyo kufikia j'5 mponda na nkya waondolewe.....!
 
ile kawaida ya serikali kupigia porojo tatizo kwa matumaini ya watu kusahau after few days kisha bussines kuendelea as usual sasa itawatokea puani
 
ngoja tusubiri, huenda ikawa sawa na walimu na hawa ghasia wao
 
madaktari c walimu!

hakuna mambo ya kusahaulishana huku. Mgonjwa anafanyiwa followup mpaka anapona,sembuse huyu anayekwamisha utendaji wetu wa kazi! Hivi kujiuzulu ni gharama kiasi gani? Wanataka ianze phase mpya ya watu kufa? Kuna mambo mengine ni mepesi tu,tangaza kujiuzulu uepushe watu kufa
 
Katika kikao cha madaktari ambacho kinaendelea katika ukumbi wa water front wametoa rasmi tamko la kuendelea na mgomo ifikapo j'5 saa2 asbh kama baadhi ya maazimio yao hayatakuwa yametekelezwa na serikali, suala la kuondolewa kwa waziri wa afya na naibu wake ndo lililopewa nafasi kwan madaktari wanadai hao ndo kikwazo kikubwa, hivyo kufikia j'5 mponda na nkya waondolewe.....!

Poa,tunawaunga mkono madoctors,kuleana kumezidi kutumaliza,doctors msilegeze uzi.
 
Hiari yashinda utumwa. Mponda na Dr. Nkya mngeondoka kwa hiari yenu mgehesabika kama waungwana lakini kinga'ng'anizi chenu mtaondoka kwa aibu. Serkali nayo tabia ya kulazimisha mambo ni hatari hasa ukizingatia kuwa hamna silaha nyingine yoyote mukiingia vitani na madaktari. Silha ya madaktari ni wagonjwa na kila siku wapo. Ni sawa na ugomvi wa baba na mama, mama akizidiwa na baba anahamishia ugomvi kwa watoto. Na ole wake, mtoto mwenyewe awe wa kambo. Ataeleza kilichomnyoa shingo kanga. Hawa ndiyo wagonjwa wa tz, tutakoma kisa Mponda na Nkya.

Lakini madaktari wakidekezwa, wakiisha jua kuwa ni Hot cake watakuwa ndiyo decision makers wa kila jambo maadamu fimbo yao ni maisha ya watu. Ukiwagusa tu! Hamna akili nyingine ni kugoma. Mwonja asali daima huchonga mzinga.
 
Hiari yashinda utumwa. Mponda na Dr. Nkya mngeondoka kwa hiari yenu mgehesabika kama waungwana lakini kinga'ng'anizi chenu mtaondoka kwa aibu. Serkali nayo tabia ya kulazimisha mambo ni hatari hasa ukizingatia kuwa hamna silaha nyingine yoyote mukiingia vitani na madaktari. Silha ya madaktari ni wagonjwa na kila siku wapo. Ni sawa na ugomvi wa baba na mama, mama akizidiwa na baba anahamishia ugomvi kwa watoto. Na ole wake, mtoto mwenyewe awe wa kambo. Ataeleza kilichomnyoa shingo kanga. Hawa ndiyo wagonjwa wa tz, tutakoma kisa Mponda na Nkya.

Lakini madaktari wakidekezwa, wakiisha jua kuwa ni Hot cake watakuwa ndiyo decision makers wa kila jambo maadamu fimbo yao ni maisha ya watu. Ukiwagusa tu! Hamna akili nyingine ni kugoma. Mwonja asali daima huchonga mzinga.

toa suggestion ya njia nyingine ya kuishinikiza serikali hii yenye kiburi kupita kiasi zaidi ya mgomo
 
serikali haiwezi kuongozwa kwa mashinikizo.madai ya madaktari yameeleweka sasa kwa kuwa na wao wamekuwa wanasiasa ndio maana wanatumika kisiasa
 
Back
Top Bottom