Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
madaktari wanatumiwa na wanasiasa hilo liko wazi hakuna ubishi.
wanasema ukiwa mwizi basi kila mtu wewe utamhisi ni mwizi. Kwa kuwa wewe ni tabia yako kutumiwa kama condom basi unahisi kila mtu anatumiwa tumadaktari wanatumiwa na wanasiasa hilo liko wazi hakuna ubishi.
Mawaziri waandike barua ya kujiuzulu na JK akubali mara moja.
umeongea point sana nimeikubali lakini ebu kwa kuwa ww ni great thinker thibitisha madaktari wanatumika kisiasaserikali haiwezi kuongozwa kwa mashinikizo.madai ya madaktari yameeleweka sasa kwa kuwa na wao wamekuwa wanasiasa ndio maana wanatumika kisiasa
tunaomba utujuze wanatumikishwa na nani ili tum-deal. otherwise unaweza kukaa kimya ukaonekana una busara zaidi kuliko kuongea kitu usichokijuaserikali haiwezi kuongozwa kwa mashinikizo.madai ya madaktari yameeleweka sasa kwa kuwa na wao wamekuwa wanasiasa ndio maana wanatumika kisiasa
umeongea point sana nimeikubali lakini ebu kwa kuwa ww ni great thinker thibitisha madaktari wanatumika kisiasa
sitaki kuamini kwamba ameropoka, humu jf kuna mambo ya kusaidiana suala siasa kuingizwa kwenye kila kitu! Mm nashndwa kuelewa inakuaje? Je ww 'inauma' unatumika kisiasa?Atathibitisha kwa ushuzi! tena ule usio na kishindo fyuuuuuuuu, atawa safoketi watakaokuwa jirani nae!!!!!!!