Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 609
- 1,563
Walianza na propaganda za Yanga kushiriki kombe la looser (shirikisho), wakatoka hapo yanga ikagonga mpaka fainali uku timu zikichapwa ipasavyo wakasema wamekutana na timu dhaifu, lakini wale wale waliwai kucheza ilo ilo kombe la looser wakaishia kuchoma uwanja wa watu na kutupwa nje ya michuano wakaishia robo fainali!
Wakatoka hapo wakaamia klabu bingwa wakabwata Tena oooh yanga atoboi kwenye hii ligi ya wanaume uku akuna kina malumo Wala Rivers united, Aya wamepangiwa magiant wawili waarabu wagumu mabingwa wa Misri, mabingwa wa Algeria, na mabingwa wa Ghana, katika kundi ilo katoboa, katoa SARE mbili, kashinda 2, na kafungwa 1 mpaka Sasa kafuzu robo fainali akiwa na mechi moja mkononi!
Kafuzu kwa mpira mkubwa na WA kitabuni na sio wa kubahatisha na kushikilia roho, kaubonda mwingi sana!
Sasa siwezi Kuona ajabu wakitinga nusu fainali ya klabu bingwa na kuandika historia ya kipekee kwakuwa uwezo wanao, Nia wanayo na kikosi Bora wanacho Cha kufanya hivyo na sio unga unga mwana Kama wazee wa propaganda!
Watu walikuwa wanajiandaa na mechi ya Belouzdad wengine walikuwa wamebaki kujadili bleach za wakina pacome, wakasahau walikuwa na mechi kule Ivory coast!
Ubora wa kikosi cha yanga utaendelea KUWAZIBA MIDOMO wengi awaendi kwa kubahatisha Bali kwa mipango mathubuti ya usajili Bora na uongozi imara!
Kongole sana Eng.Hersi, kongole kamati tendaji, kongole mashabiki na wanachama wa yanga kwa kuwa na mshikamano ulioleta matunda na Sasa ni "OPERATION NUSU FAINALI INAWEZEKANA"
Wakatoka hapo wakaamia klabu bingwa wakabwata Tena oooh yanga atoboi kwenye hii ligi ya wanaume uku akuna kina malumo Wala Rivers united, Aya wamepangiwa magiant wawili waarabu wagumu mabingwa wa Misri, mabingwa wa Algeria, na mabingwa wa Ghana, katika kundi ilo katoboa, katoa SARE mbili, kashinda 2, na kafungwa 1 mpaka Sasa kafuzu robo fainali akiwa na mechi moja mkononi!
Kafuzu kwa mpira mkubwa na WA kitabuni na sio wa kubahatisha na kushikilia roho, kaubonda mwingi sana!
Sasa siwezi Kuona ajabu wakitinga nusu fainali ya klabu bingwa na kuandika historia ya kipekee kwakuwa uwezo wanao, Nia wanayo na kikosi Bora wanacho Cha kufanya hivyo na sio unga unga mwana Kama wazee wa propaganda!
Watu walikuwa wanajiandaa na mechi ya Belouzdad wengine walikuwa wamebaki kujadili bleach za wakina pacome, wakasahau walikuwa na mechi kule Ivory coast!
Ubora wa kikosi cha yanga utaendelea KUWAZIBA MIDOMO wengi awaendi kwa kubahatisha Bali kwa mipango mathubuti ya usajili Bora na uongozi imara!
Kongole sana Eng.Hersi, kongole kamati tendaji, kongole mashabiki na wanachama wa yanga kwa kuwa na mshikamano ulioleta matunda na Sasa ni "OPERATION NUSU FAINALI INAWEZEKANA"