Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 12,131
- 33,527
Amini katika itikadi, usimuamini mtuHakuna namna tumpe maua yake. Unapokuta watu uliowadhania ni wapinzani wanageuka na kujiunga na CCM wakati wa uchaguzi ni lazima ujiulize kama walikuwa wapinzani kweli au walikuwa wanatafuta pa kuhemea tu.
Ati leo Joshua Nassari yuko CCM..
Ati leo Wenje yuko CCM
Ati leo Peter Msigwa yuko CCM...
Kazi kwelikweli