Mpinzani Aliyebakia: John J. Mnyika… Wengine Watabakia?

Mpinzani Aliyebakia: John J. Mnyika… Wengine Watabakia?

Sema huyu Lissu sio wa kupanga naye dili lolote maana lazima ataweka kila kitu hadharani. Kwenye stori yake kuhusu Abdul alinichekesha sana aliposema kwamwambia Abdul akamwambie mama yake amlipe stahiki zake.

Si bora hyo.

Kuna ile wakati anahojiwa na Odemba kuhusu Dr. Slaa na Kususa Ujio wa Lowasa.

Akasema Mshenga wa kumleta Lowasa Chadema alikua Gwajima 🤣
 
Mleta mada weka akiba ya maneno.

Tangu umemfahamu Mnyika ni mara ngapi kapitia madhira wanayopitia wenzie ambao kaanza nao harakati za hayo mapambano.

Hadi Zitto anayechukiwa na Wanachadema ana kesi ya uchochezi iliyomfanya anyoe nywele.

Sijui Mnyika kapitia mangapi naombeni kujuzwa kwa anaejua.
 
Kwa walichopitia na wanachoendelea kupitia hao ni wapinzani wa kweli..!!

Lissu alikataa PESA za duli na akabaki na misimamo yake, wakati Msigwa kashindwa uchaguzi wa kikanda tayari katema bungo.!!

Huyo Mtikila wakaona mpaka wamtafutie ajali ya mchongo.
Ni kweli lakin kamba hukatika pembamba so let's let the time speak
 
Back
Top Bottom