Mahmoud Qaasim
JF-Expert Member
- Nov 3, 2007
- 923
- 264
Wabongolala bado tupo usingizini( sina maana ya usingizi wa kufumba macho, bali usingizi wa akili, akili zimelala yaani bongolala). Sasa tuamshe akili zetu tuache longolongo na tufanye kazi kwa bidii.