Mpenzi wangu kanizidi umri

Mpenzi wangu kanizidi umri

kwann G Sam?!.
'
Emb imagine unakililia kitoto kimahaba....kiakupindua kitakavyo unaking'atia vidole kwa aibu kinakugombeza ukikosea unatembea nacho mitoko dah! don do that bana..kwa girls haijakaa powa kabisa bana!
 
'
Emb imagine unakililia kitoto kimahaba....kiakupindua kitakavyo unaking'atia vidole kwa aibu kinakugombeza ukikosea unatembea nacho mitoko dah! don do that bana..kwa girls haijakaa powa kabisa bana!

Mbona sikupati mkuu unamaanisha nin?
 
kwahiyo ulimuoa ukiwa na miaka 25 yeye yeye 28?
yap.. umeogopaee...kinachoniongoza ni kufikiri,,maombi na hekima ya hali ya juu ili nisijekuwa kwenye right position but wrong direction hata siku moja.
 
Hahaaa mimi na miaka 24.5 lakini napenda madada wa kianzia miaka 27_30 kwa hyo umri siyo kigezo we kula maneno.

Wewe unazungumzia kugegeda mwenzio anazungumzia kuoa, haya ni mambo mawili tofauti.
 
Na vipi kama mwanamke amekuzidi miaka kama miwili-minne na umemtia mimba, unaoa?
 
Ndugu wana jf mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 27 na nina mpenz wangu ambae tunapendana sana kwa dhati kutoka moyon kabisa ila shida ni kuwa yeye ni mkubwa kwangu kiumri lakin yeye halijui hilo maana nilimdanganya umri wangu kuwa tuko sawa na had sasa anaamin na mpango tulionao baadae ni kuish kama mume na mke na kila mmoja analijua hilo, sasa naomben mawazo yenu kama hiki kitu kinawezekana kweli maana kwa utaratibu unaojulikana ni kuwa mume lazima amzid umri mke!
Mbona yule Mbunge mzee wa miaka 50's alikubali kuolewa na kijana wa miaka 26 kwa sababu tu kijana kamng'ang'ania? Hata nawe mng'ang'anie atakubali tu...!
 
The truth is that Age matters especially in our African cultures,but my advice to u is that as long as that someone special can make u happy then that what counts.
 
brother,love doesn't matter whom one you love.is just how you feel towards each other.go ahead and be happy wth her.
 
Una miaka 37 hujaolewa na una mpenzi ana miaka 10!!

This is totally completely mental case.endelea kujifariji tu.

Kamwe hutokuwa mke wa huyo kijana anayeonekana yupo na wewe kwa sababu amepigika na wewe unamsaidia vipoketi money, akiweza kusimama kwa miguu yake na kuamuwa kuoa ataingia sokoni na kuchukuwa msichana wa miaka 24 mpaka 29.

Pole sana kama una umri huo na hujitambui, mume wa kukuoa ni divorce man au aliyefiwa na mke na hapungui umri wa miaka 50. wake up now.

wewe matola umeandika nini hapo, ndio maneno gani ya kumwambia huyo dada. we mtu unalaana wewe.
 
wewe matola umeandika nini hapo, ndio maneno gani ya kumwambia huyo dada. we mtu unalaana wewe.

Tusimshangae Matola mtu wa kuowa K9 unadhani atatoa ushauri mwema? Angalia comments zake zilopita!!
 
Last edited by a moderator:
Kama una miaka 21 unategemea huo ubongo wako unawaza nini zaidi ya ngono? hivi wewe unajuwa hata future ni nini? foolish age inakusumbuwa ukikuwa utayaelewa haya mambo.

Kikojozi kakojoa na nguo kaitia moto!!

Mama Matola anajionaje na hali!
Gongo ameisha ivisha??
 
Last edited by a moderator:
Ni hivi kama wewe ni kichwa ngumu owa tu wala hamna shida, ila yeye akifikisha miaka 40 wewe utakuwa na 36 sasa hapo ndio utaanza kudet na mademu wenye miaka 25.

Only time will tell kwa sasa wewe huna tofauti na kipofu huwezi kuliona hili.

Na ukitaka kuamini maneno yangu chunguza umri wa wazazi wako kama wako hai halafu wangaalie muonekano the mwambie mama yako mzazi kwamba unataka kuoa mwanamke lakini amekuzidi miaka minne ila wewe unampenda tu kama alivyo halafu uone atakachokujibu.




Mkuu huogopi kuambiwa una wivu? vijana hawa wameweka pamba masikioni hawajui kama sisi tunatoa ushauri through experience na age tuliyonayo sasa sijui wanataka tuwe tunadisplay umri ndio wawe serious na ushauri wetu.

Kwa mfano mimi wanawake asilimia kubwa tuliomaliza pamoja o level leo hii nikikutana nao sina mzuka nao kabisa hawako tena hot lakini by that time waliturusha roho na wengine tuliambulia kula kwa macho tu, lakini kipindi kile mimi nilitamani na kuamini one of them kuna mke wa kuoa mimi kumbe fact perfect woman kwangu alikuwa bado ni mdogo na bado yuko Primary school.

Kuna rafiki yangu mwingine naye ameoa msichana na wana watoto wawili sasa hivi yule msichana mama yake mimi ndio age mate wangu sasa imagine leo hata nirealise kwamba yule mama siyo wa level ya kuolewa na mimi labda mtoto wake ndio perfect match.




Kamuulize Josephine yule Junior ni mtoto wa Dr Slaa au kagegedewa?




Una miaka 37 hujaolewa na una mpenzi ana miaka 10!!

This is totally completely mental case.endelea kujifariji tu.

Kamwe hutokuwa mke wa huyo kijana anayeonekana yupo na wewe kwa sababu amepigika na wewe unamsaidia vipoketi money, akiweza kusimama kwa miguu yake na kuamuwa kuoa ataingia sokoni na kuchukuwa msichana wa miaka 24 mpaka 29.

Pole sana kama una umri huo na hujitambui, mume wa kukuoa ni divorce man au aliyefiwa na mke na hapungui umri wa miaka 50. wake up now.

Naona mwanangu wamekufikisha kwenye anga zako za rusha roho!

Mtoto una mdomo michafu kuliko wale waliberali!! Duhhh!

We bado kidogo tu utaitwa mwajuma!

Teh teh teh!
 
Sijasema miaka 10 wewe, mbona unakuwa na tabia za kiswahili kukuza mambo, rudi kwenye post yangu uone kama nimeandika ana miaka kumi halafu kaa ukijua sio kila uhusiano purpose yake ni kuoana, sio kila uhusiano lazima ufikie kwenye ndoa na kuna tofauti ya kuwa wapenzi na kuoana. Mnaweza kuwa wapenzi na kila mtu akawa na mission yake. Usikariri, hata wewe ulishakuwa na wapenzi kibao lakini kama ni kuoa utaoa mmoja tu


Una miaka 37 hujaolewa na una mpenzi ana miaka 10!!

This is totally completely mental case.endelea kujifariji tu.

Kamwe hutokuwa mke wa huyo kijana anayeonekana yupo na wewe kwa sababu amepigika na wewe unamsaidia vipoketi money, akiweza kusimama kwa miguu yake na kuamuwa kuoa ataingia sokoni na kuchukuwa msichana wa miaka 24 mpaka 29.

Pole sana kama una umri huo na hujitambui, mume wa kukuoa ni divorce man au aliyefiwa na mke na hapungui umri wa miaka 50. wake up now.
 
Hana lolote huyo, si ajabu na yeye analelewa, anajishaua tu hapa jf
Atuache watu tujipe raha, kama linamuuma mkaka kuwa na mpenzi mwenye umri mkubwa apeleke maoni kwenye katiba mpya. Raha tupate sie, kuumia aumie Matola inahu........!


Naona mwanangu wamekufikisha kwenye anga zako za rusha roho!

Mtoto una mdomo michafu kuliko wale waliberali!! Duhhh!

We bado kidogo tu utaitwa mwajuma!

Teh teh teh!
 
Back
Top Bottom