Mpenzi wangu kanizidi umri

Mpenzi wangu kanizidi umri

Bado sanaaa

Hata dongo liwe zuri, my ego/pride won't let me. Kula bwana mdogo marfuku, akinidanganya nikigundua ntamtema tu.

Huwezi kutenguwa utaratibu wa umri ila is only applicable kwa wanawake wenye dongo zuri ambapo hata akikuzidi umri mwanaume ndio unaweza kuonekana mkubwa.

ila kiukweli si wanawake wengi waliojaliwa miili hiyo.Haya mambo ya age ain't but just a number kwa Africa bado kidogo.
 
Miaka 31 mimi 27 different miaka 4, hapo vipi mkuu???na nina mpango wa kufunga nae ndoa mwaka huu au ikishindikana kabisa bas mwakan

Mkuu for the future benefits temana naye...Kuna psychological problems utazipata later ambazo zitakupa tabu kwenye maisha ya ndoa..!
 
Wakuu nawashukuru wote kwa ushauri wenu mlioutoa kwa kweli nimefarijika sana, kuna wadau wameuliza miaka aliyonizid jibu ni minne yaan mi nina miaka 27 now yeye 31.
Ni hivi kama wewe ni kichwa ngumu owa tu wala hamna shida, ila yeye akifikisha miaka 40 wewe utakuwa na 36 sasa hapo ndio utaanza kudet na mademu wenye miaka 25.

Only time will tell kwa sasa wewe huna tofauti na kipofu huwezi kuliona hili.

Na ukitaka kuamini maneno yangu chunguza umri wa wazazi wako kama wako hai halafu wangaalie muonekano the mwambie mama yako mzazi kwamba unataka kuoa mwanamke lakini amekuzidi miaka minne ila wewe unampenda tu kama alivyo halafu uone atakachokujibu.
 
Kwanza kijana tambua hasara za kuoa mwanamke uliyemzidi umri ni kwamba mwanaume unaanza kuchoka na kuzeeka haraka huku mkeo akiwa bado yupo fiti wenzio wakiwa wanakugegedea mzigo!!Hvyo ushauri wangu ni kuoa mwanamke aliyekuzidi umri ili yasikukute maswaibu kama hayo!! huku halafu cm haina saut nely aliniambia kuwa unanipa hi! Niko salama bado nimelala
 
Mkuu kwa maisha ya sasa mbona kawaida tu,haukusikia kuna mb wa viti maalum wa CCM ana miaka zaidi ya 60 lakni kaolewa na kakijana cha miaka 20 na.
 
Mkuu for the future benefits temana naye...Kuna psychological problems utazipata later ambazo zitakupa tabu kwenye maisha ya ndoa..!
Mkuu huogopi kuambiwa una wivu? vijana hawa wameweka pamba masikioni hawajui kama sisi tunatoa ushauri through experience na age tuliyonayo sasa sijui wanataka tuwe tunadisplay umri ndio wawe serious na ushauri wetu.

Kwa mfano mimi wanawake asilimia kubwa tuliomaliza pamoja o level leo hii nikikutana nao sina mzuka nao kabisa hawako tena hot lakini by that time waliturusha roho na wengine tuliambulia kula kwa macho tu, lakini kipindi kile mimi nilitamani na kuamini one of them kuna mke wa kuoa mimi kumbe fact perfect woman kwangu alikuwa bado ni mdogo na bado yuko Primary school.

Kuna rafiki yangu mwingine naye ameoa msichana na wana watoto wawili sasa hivi yule msichana mama yake mimi ndio age mate wangu sasa imagine leo hata nirealise kwamba yule mama siyo wa level ya kuolewa na mimi labda mtoto wake ndio perfect match.
 
Kwanza kijana tambua hasara za kuoa mwanamke uliyemzidi umri ni kwamba mwanaume unaanza kuchoka na kuzeeka haraka huku mkeo akiwa bado yupo fiti wenzio wakiwa wanakugegedea mzigo!!Hvyo ushauri wangu ni kuoa mwanamke aliyekuzidi umri ili yasikukute maswaibu kama hayo!! huku halafu cm haina saut nely aliniambia kuwa unanipa hi! Niko salama bado nimelala
Kamuulize Josephine yule Junior ni mtoto wa Dr Slaa au kagegedewa?
 
kwa maisha ya sasa ni changamoto kubwa kwa mwanaume kuoa mwanamke anayekuzid umri,ikumbukwe kuwa mapenzi ni kama upofu na ndo yanatawala dunia.Unaweza ukamshauri mtu na mwisho wa siku ukaonekana humtakii mema hiyo ni kwa sababu kila mtu ana mtazamo wake tofauti,hivyo mkuu pima ushauri unaopewa hapa jukwaan na uone upi unafaa maana mwisho wa siku wewe ndo wa kufanya maamuzi juu ya maisha yako na si mwingine
 
Mwambie ukweli ili kuepuka matatizo yasiyo ya lazima.

Yeye kwani ana umri gani,,kwasababu huwezi kumdanaya umri kama we una 27 na yeye ana 38 ukasema tunalingana ,hata kwa macho tu lazima tofauti iwepo.
 
Kumdanganya umri in sawa km bado hujamjua atalipokeaje la umri wako mdogo kwani wanawake wengi wanapenda wanaume wawe wamewazidi umri ila kama unampenda we endelea nae huku unamsoma zaidi kuhusu kuja kumwambia ukweli baadae,na waweza mwambia sasa km umejiridhisha anakupenda kwa dhati ila km Hunan uhakika subiri endelea kujenga mapenzi na uaminifu kwake kwani hilo la umri ni dogo km mnapendana kwa dhati Mimi ilikuwa km wewe kanizidi miaka 4 ila maisha yanaenda huu mwaka wa 6 kwenye ndoa na alikuja kujua ila hamna dosari yoyote kwani tuna amani tele kwenye ndoa
 
Ndugu wana jf mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 27 na nina mpenz wangu ambae tunapendana sana kwa dhati kutoka moyon kabisa ila shida ni kuwa yeye ni mkubwa kwangu kiumri lakin yeye halijui hilo maana nilimdanganya umri wangu kuwa tuko sawa na had sasa anaamin na mpango tulionao baadae ni kuish kama mume na mke na kila mmoja analijua hilo, sasa naomben mawazo yenu kama hiki kitu kinawezekana kweli maana kwa utaratibu unaojulikana ni kuwa mume lazima amzid umri mke!

we unachotaka ni nini?si ungekuja kuomba ushauri kabla haujaanza mahusiano nae?sasa tayari uko kwenye mahusiano unataka sisi tusemeje?mbona umri wake haujakuzuia kugeda,sasa unataka ushauri wa nini?tusipotezeane muda aisee,kama umri wake haujakuzuia kumtongoza,kumgeda sasa unadhani kwenye ndoa utamfanyaje kama sio kumgeda kama unavyofanya sasa?tambua muda wa kuja kuomba ushauri.
 
Sio kweli, mie mpenzi wangu ana miaka 30 mie nina 37, mbona maisha yanaenda kama kawaida na kushauriana kuko palepale, ni mwanume kujitambua tu kwamba yeye ni mwanaume na ndio ana say ya mwisho, over!


mwanamke akikuzidi umri juwa amekuzidi kila kitu huu ndio ukweli. utaki unaacha.
 
Kwamtazamo wangu, maisha ya ndoa au urafiki kati ya wapenzi ni zaidi ya umri wa wahusika. Japo nikweli watu wengi wanaamini katika kupishana umri kati ya mume au mke ( au wapenzi) kwa mwanaume kutakiwa kuwa na umri mkubwa kuliko mwanamke kwa sababu mbali mbali wanazojua wao, mi nadhani misingi ya mahusiano iwe ya ndoa au ya upenzi tu kabla ya ndoa lazima iwe kama ifuatavyo: kuendea mambo kwa hekima, kupendana, kuheshimiana, uwazi, kusameheana, kuvumiliana,kuelewana, kupeana moyo, kushirikishana, na misingi mingineyo yenye kujenga na kubwa zaidi kuwa na hofu ya MUNGU nakumshirikisha Mungu katika kila jambo. Mie naamini, km haya yote hakuna hata mngepishana umri miaka 100 haitasaidia na huo uhusiano au ndoa itayumba au kuvunjika tu! Nakushauri km unadhan mnasifa tajwa hpo juu, endeleeni tu na uhusiano wenu na INSHAALAH Mungu awajalie mfunge na ndoa kabisa.
 
Mkuu huogopi kuambiwa una wivu? vijana hawa wameweka pamba masikioni hawajui kama sisi tunatoa ushauri through experience na age tuliyonayo sasa sijui wanataka tuwe tunadisplay umri ndio wawe serious na ushauri wetu.

Kwa mfano mimi wanawake asilimia kubwa tuliomaliza pamoja o level leo hii nikikutana nao sina mzuka nao kabisa hawako tena hot lakini by that time waliturusha roho na wengine tuliambulia kula kwa macho tu, lakini kipindi kile mimi nilitamani na kuamini one of them kuna mke wa kuoa mimi kumbe fact perfect woman kwangu alikuwa bado ni mdogo na bado yuko Primary school.

Kuna rafiki yangu mwingine naye ameoa msichana na wana watoto wawili sasa hivi yule msichana mama yake mimi ndio age mate wangu sasa imagine leo hata nirealise kwamba yule mama siyo wa level ya kuolewa na mimi labda mtoto wake ndio perfect match.
huyo rafiki yako ni mchafuzi 2 wawatoto wa wenzie maana hapo nikama kaoa mtoto wake wa kumzaa
 
Mi kwa kweli I cannot stand lies. Unaweza kuona sio kitu kikubwa but it is.

Nakushauri umwambie ukweli.



On the other hand don't let age stand in the way of your happiness and love.
 
Back
Top Bottom