Teh teh teh! Tatizo toto limefuata tabia za mama yake linajiita Asha Mohamed Bin Kahaatan.
Asha Mohamed bin kahtaan teh teh teh...
Mkuu, nakuona unavyomtia majiti ya rohoni huyo Binti wa kufikia wa Dr. kahtaan teh teh teh!
Matola yu wapi babaako wa hiari kahtaan?
Naomba uni-pm, maana nina maagizo yake muhimu sana, tafadhali au naeza kukuachia weye?!!
Baba Tora!
Mbona toto lako linafanana na mama yake mpaka mwendo teh teh teh.
Teh teh teh! Tatizo toto limefuata tabia za mama yake linajiita Asha Mohamed Bin Kahaatan.
Mkuu Averoes,
Hishma yako ikupate, siamini maneno yako maana mie nimedokezwa na kama umesoma comment yangu nimemtaka Matola anisaidie mawasiliano ya babaake wa kufikia kahtaan ili nimfikishie posa ya Ritz, khalafu weye wanena ati amuogopa?!!
Lakini yaezekana maana kalelewa mwana yule maana mato kama akuita lala hivi ..!!
Hata mimi wa kwangu kanizidi miaka 35! Lkn ananibembeleza kwa raha zangu!
Mama jicho jicho! Utafkiri kala kungu!
Akijipakaa zile rangi za midomo anafanana na mama k muuza gongo lkn bata tunakula Pamoja!
Anaitwa mama Matola
Kama unabisha muulize mwanangu wa kufikia Matola atakupa majibu.
Cc THE BIG SHOW
Teh teh teh lol! 35years!