Mpenzi wangu kaniomba 200,000

Mpenzi wangu kaniomba 200,000

Umeona eeeh...kibabu changu hana maswal..say wat u want and u have it no stress....vijana ni mpaka ujaze questioner na unaweza pewa nusu


Acha kutuibia hapa!!!!!
Ndo nyie mnaotembea na baba zenu nyie.
 
mmmh demu wa kwako ..kumpa hela mpaka uje jf????kama huna mwambie huna.,,unayo basi mpe.

Tunaishi kwenye ulimwengu ambao everything is uncertain.
Hivyo kupata mawazo ni jambo zuri.
 
Inawezekana ana shida na hiyo hela,so may be talk to her na ujue anataka hela yote hiyo ya nini..
 
Ukiona unapewa vingi sana ni wazi na wewe unatoa vingi including TIGO.

Ndo mawazo yako yalipofikia....inaonyesha dhair..mpaka utoe pesa nying ni lazima dem akupe tigo...looh...babu wa watu nikimpa tigo si ndo atanifia na pressure....si lazima tigo mkuu ndo tuhongwe..change ua mindset😱
 
Hakuna tatizo siumesema nimpenzi wako sasa wewe unataka nani ampe au unahamu umegewe na wenye nazo
 
Ndo mawazo yako yalipofikia....inaonyesha dhair..mpaka utoe pesa nying ni lazima dem akupe tigo...looh...babu wa watu nikimpa tigo si ndo atanifia na pressure....si lazima tigo mkuu ndo tuhongwe..change ua mindset😱

Chezea mini-kabang ww ??? chomoa-nijambe hyo ...lazma utam mwagia hela tu. Navyosikia ukianza hyo michezo ya kuzibua mtaro huachi. Hahahaha
 
Chezea mini-kabang ww ??? chomoa-nijambe hyo ...lazma utam mwagia hela tu. Navyosikia ukianza hyo michezo ya kuzibua mtaro huachi. Hahahaha

Hehe...aisee....jaribu then uje kunipa feedback😉
 
Mkuu hapo umelenga, yaani Mimi mwanamke akinikopa najua hiyo nimempa tu.
Sijawahi kurudishwa deni na mwanamke.

Exactly same here...ukishampa ndio ntolee hyo...ukimkumbusha deni lako anakuambia nkipata ntakupa meanwhile bado hajapata. Asa na mm nikasema ngoja lazma nimgegede vya kutosha nifidie hela zangu na kweli nikafanya hvyo na wala hakunizungusha mzigo alijua fika ndio analipa hvyo.....Its like hawa wanawake wa siku hzi wanajiuza in a more professional way sio mpaka umuone corner bar.
 
Acha kunywa viroba, hii sio hoja hapa jm please. Munajuana wenyewe for 3 yrs
 
Hehehehe... Elfu 2 pia waihesabia na ww..?! Anyway,umuulize hiyo pesa anataka kufanyia nini ili uwe comfortable kuitoa..

Duuu we nae unaonekana mshashizi..yote hiyo kumchokonoa mleta uzi
 
Back
Top Bottom