Mpenzi wangu kaniomba 200,000

Mpenzi wangu kaniomba 200,000

Bora kudate na wazee they have no complain at all jamani,

Kuna wakati nilikuwa siamini kama mimi... yaani mimi kabisa... eti nimpe mwanamke 20,000!. Ila kuna kipindi inafika, sijui ni umri au vipi...
 
Bora kudate na wazee they have no complain at all jamani,

Umeona eeeh...kibabu changu hana maswal..say wat u want and u have it no stress....vijana ni mpaka ujaze questioner na unaweza pewa nusu
 
to me sioni kama ina shida otherwise ukubali kuwa mtaji coz utazitoa mara kwa mara kiwango kikubwa bila kujua zinafanyiwa nini?kama hataki kuulizwa za nini?atafute kwa jasho lake na kutumia za kwake
Kukosa uaminifu na kuwa tayari kubeba majukumu yake huko.
 
mmh, laki 2 unakuja kulalama jf? Muhimu ujue anataka ya nini.
 
demu wangu huyu nimekuwa naye takriban miaka 3 sasa nimekuwa nikimpa pesa elfu 20, 50, elfu 200 siku zingine simpi kabisa namwambia hali ngumu kwa vile najua anafanya kazi. jana kaniomba laki 2 nikastuka kwa vile hajawai kuniomba kiasi kikubwa kama hicho nikamjibu aje tuonane vile hatujaonana miezi 5 (nilikuwa nimesafiri) hofu yangu nikimpa atazoea kuniomba pesa nyingi
ushauri tafadhali.

Mbona ushawahi kumpa! ama chaUkucha? mii uhusiano wangu na masomo ya namba sio mzuri!
 
Last edited by a moderator:
Miezi mitano hamjaonana,mwenzio kapiga mahesabu kila mwezi elfu 50 =250,000 akakupunguzia elfu 50
Kama kila mwezi ulikuwa unampa elfu 50 mpe tu mwezio kafanya ni kama deni.
 
Miezi mitano hamjaonana,mwenzio kapiga mahesabu kila mwezi elfu 50 =250,000 akakupunguzia elfu 50
Kama kila mwezi ulikuwa unampa elfu 50 mpe tu mwezio kafanya ni kama deni.

ha ha ha!
 
Back
Top Bottom