Mpenzi wangu kaniomba 200,000

Mpenzi wangu kaniomba 200,000

demu wangu huyu nimekuwa naye takriban miaka 3 sasa nimekuwa nikimpa pesa elfu 20, 50, elfu 200 siku zingine simpi kabisa namwambia hali ngumu kwa vile najua anafanya kazi

jana kaniomba laki 2 nikastuka kwa vile hajawai kuniomba kiasi kikubwa kama hicho nikamjibu aje tuonane vile hatujaonana miezi 5 (nilikuwa nimesafiri) hofu yangu nikimpa atazoea kuniomba pesa nyingi
ushauri tafadhali.

Mpe pesa kijana ndo mapenzi ya kiafrika hayo maana hata yeye hana uhakika kama utamuoa bora akuchune ili hata ukimwaga abaki na historia nzuri kutoka kwako
 
Ha ha elfu mbili nayo imo kwenye calculations?? Ha ha u made my day.... Ulimpa ya nini sasa hiyo buku mbili??? Ha ha ha aisee nimecheka kwa nguvu mno duh

hahahahaha labda ya vocha jamaa atakuwa mchumi sana huyu lol
 
mhhh kicheche hyo kama anafanya kazi na wewe anasrahili akutoe hata out mara moja
 
mmmh demu wa kwako ..kumpa hela mpaka uje jf????kama huna mwambie huna.,,unayo basi mpe.
 
Bora akuombe...shida mwanamke akisema 'nikopeshe' na wewe ukaamini 'umemkopesha'...
kwa mme na mke kukopeshana haiumizi kichwa,kazi kwa mapenzi u-boyfriend na u-girlfriend
 
mkuu ni jambo la busara kwa mpenzi wako kukuomba hela maana yeye anaona ni wewe ndo wake katika shida na raha....au unataka hela kubwa aombe kwa wengine na za vocha aombe kwako!!??..... ila kaa nae kwanza mwongee vizuri
 
Back
Top Bottom