Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
basi muulize, bora mwanamke akuombe pesa, asipokuomba jua.anakudharau.
ndo na mimi nataka kujua anataka ya nini?
ndo na mimi nataka kujua anataka ya nini?
basi muulize, bora mwanamke akuombe pesa, asipokuomba jua.anakudharau.
demu wangu huyu nimekuwa naye takriban miaka 3 sasa nimekuwa nikimpa pesa elfu 20, 50, elfu 200 siku zingine simpi kabisa namwambia hali ngumu kwa vile najua anafanya kazi
jana kaniomba laki 2 nikastuka kwa vile hajawai kuniomba kiasi kikubwa kama hicho nikamjibu aje tuonane vile hatujaonana miezi 5 (nilikuwa nimesafiri) hofu yangu nikimpa atazoea kuniomba pesa nyingi
ushauri tafadhali.
Ha ha elfu mbili nayo imo kwenye calculations?? Ha ha u made my day.... Ulimpa ya nini sasa hiyo buku mbili??? Ha ha ha aisee nimecheka kwa nguvu mno duh
Miezi 5 hamjaonana, hlf bado ni demu wako?
Labda wanaokukopa.....ila mim najitahidig walau nusu nirudishe
Mpe tu, kwa sababu usipompa kuna kwingine atampa 500,000/- na ndio mwisho wa uhusiano wenu.huwaga hasemi
kwa mme na mke kukopeshana haiumizi kichwa,kazi kwa mapenzi u-boyfriend na u-girlfriendBora akuombe...shida mwanamke akisema 'nikopeshe' na wewe ukaamini 'umemkopesha'...
mmh, laki 2 unakuja kulalama jf? Muhimu ujue anataka ya nini.
hahahahaha labda ya vocha jamaa atakuwa mchumi sana huyu lol
labda wamepeana likizo
Ulisema nikukopesha milioni ngapi vile?
Bora akuombe...shida mwanamke akisema 'nikopeshe' na wewe ukaamini 'umemkopesha'...
Hata kama vocha ndo ya buku mbili??? Mmmhh hahahahahha