Mpenzi wangu kaniomba 200,000

Mpenzi wangu kaniomba 200,000

Umeona eeehhh yaani kwanza anakupa vidolali hata havihesabu na wala hujamwomba ukimwomba fasta 'Kacheki Account yako ya Standard Chartered Bank' nishaweka pesa maana niko nje ya nchi he he tuvijana hutu eti laki mbili anapiga kelele halafu anataka mwanamke???

Aisee, umenifanya nijiulize, wanajiuza au?
 
Back
Top Bottom