Mpenzi wangu kaniomba 200,000

Mpenzi wangu kaniomba 200,000

to me sioni kama ina shida otherwise ukubali kuwa mtaji coz utazitoa mara kwa mara kiwango kikubwa bila kujua zinafanyiwa nini?kama hataki kuulizwa za nini?atafute kwa jasho lake na kutumia za kwake

Teh....
Itakuwa anakwenda saloon kama sio kununua saloon
 
  • Thanks
Reactions: lin
Demu wangu huyu nimekuwa naye takriban miaka 3 sasa nimekuwa nikimpa pesa elfu 20, 50, elfu 200 siku zingine simpi kabisa namwambia hali ngumu kwa vile najua anafanya kazi .

Jana kaniomba laki 2 nikashtuka kwa vile hajawahi kuniomba kiasi kikubwa kama hicho nikamjibu aje tuonane vile hatujaonana miezi 5 (nilikuwa nimesafiri) hofu yangu nikimpa atazoea kuniomba pesa nyingi.

Ushauri tafadhali.

Kama unazo Mkuu we mpe tu. Umesema mwenyewe kuwa huyu ni demu wako wa miaka mitatu, na umeeleza kiasi cha fedha ambacho huwa unampa na inaonekana huwa anaridhika. Pia umesema wazi kuwa ukiwa huna huwa unamwambia na anaelewa sasa mtu kama huyo kwa nini umnyime? Lazima atakuwa na shida kubwa ndio maana amekuomba, kama angekuwa gold-digger angekuwa ameshakuomba hela kubwa kwa muda mliokuwa naye.
 
Jiandae itakuwa inaongezeka usishangae siku utakapopigwa mzinga wa milioni tano
 
wazee hawa complain kwasababu wanajua hizo pesa ndo zilizokupeleka kwake tofauti na vijana
wanafahamu majukumu yao si kitandani si shopping,kwani kwa vijana huwa mnafata nini?
 
Ukiniuliza makabila ninayoyapenda la kwnza ni WACHAGA (hawatoi pesa kizembe) Samuel tuache upuuzi et demu umpe laki 5 duh huo ni upumbavu.
je iyo ela angeomba mdogo ako wa kiume ungempa
MARUFUKU KUTOA TOA PEXA KIJINGA
 
Kama unazo Mkuu we mpe tu. Umesema mwenyewe kuwa huyu ni demu wako wa miaka mitatu, na umeeleza kiasi cha fedha ambacho huwa unampa na inaonekana huwa anaridhika. Pia umesema wazi kuwa ukiwa huna huwa unamwambia na anaelewa sasa mtu kama huyo kwa nini umnyime? Lazima atakuwa na shida kubwa ndio maana amekuomba, kama angekuwa gold-digger angekuwa ameshakuomba hela kubwa kwa muda mliokuwa naye.

Anh bob ushauri gan huo demu ni demu tu ata mkikaa miaka 100 uyo si MKE.......!!!
ndo mana wanaume wengi wako maskini kisa misifa laki 2 unampa demu jamani kweli
Pesa nyingi sana iyo kule kijijini wanakodisha shamba kwa msimu ekari elfu 25 ka vp bora uende ukachkue ekari 8 ulime vitunguu
 
Anh bob ushauri gan huo demu ni demu tu ata mkikaa miaka 100 uyo si MKE.......!!!
ndo mana wanaume wengi wako maskini kisa misifa laki 2 unampa demu jamani kweli
Pesa nyingi sana iyo kule kijijini wanakodisha shamba kwa msimu ekari elfu 25 ka vp bora uende ukachkue ekari 8 ulime vitunguu

Kwanza muanzisha thread ameomba ushauri kuwa ampe kiwango hicho au la, hakuuliza kama ampe pesa wakati sio mkewe. Pili kama umesoma vizuri post ya mwanzisha thread ni kuwa huwa anampa hela mara kwa mara ingawa si kwa kiwango hicho kwa hiyo suala la kusema asimpe kwa kuwa sio mkewe sio sahihi kwani tayari amekuwa akimpa. Tatu, kwamba hizo ni hela nyingi ni suala la mtazamo tu, hata angekuwa anampa shilingi 500 kuna watu wangeziona nyingi, lakini yeye anazitoa kwa kuwa anamjali demu wake.

Mwisho mimi ushauri wangu umeanza na "kama unazo", maana yake ni kuwa ampe kama tu ana uwezo huo.
 
Kwanza muanzisha thread ameomba ushauri kuwa ampe kiwango hicho au la, hakuuliza kama ampe pesa wakati sio mkewe. Pili kama umesoma vizuri post ya mwanzisha thread ni kuwa huwa anampa hela mara kwa mara ingawa si kwa kiwango hicho kwa hiyo suala la kusema asimpe kwa kuwa sio mkewe sio sahihi kwani tayari amekuwa akimpa. Tatu, kwamba hizo ni hela nyingi ni suala la mtazamo tu, hata angekuwa anampa shilingi 500 kuna watu wangeziona nyingi, lakini yeye anazitoa kwa kuwa anamjali demu wake.

Mwisho mimi ushauri wangu umeanza na "kama unazo", maana yake ni kuwa ampe kama tu ana uwezo huo.

Hongera.........!!!!
 
Mkuu elfu 200 ni shs ngapi?

Mbona unajichanganya veve!

¢¢ chaUkucha
 
Last edited by a moderator:
Jiandae itakuwa inaongezeka usishangae siku utakapopigwa mzinga wa milioni tano

hofu yangu ipo hapo otherwise aeleze ya nini lakini nilipombana akasema
akiniambia ya nini sitompa sasa kama maelezo sio ya msingi ni wazi kwamba pesa atapata lakini sio iyo aliyosema.
 
Back
Top Bottom