Hela kwanza then mengine kama sura, six pack body, ukubwa wa maungo ya sirini nk ndiyo vitanafuatia...
Masuala ya bby vumilia tu tutapambana mtaani hayapo, ni lazima pawepo pa kuanzia..!! kuachwa njiani nako kuko palepale kama mifuko itatoboka na uwezekano wa kushonea haupo.
Masuala ya bby vumilia tu tutapambana mtaani hayapo, ni lazima pawepo pa kuanzia..!! kuachwa njiani nako kuko palepale kama mifuko itatoboka na uwezekano wa kushonea haupo.